mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 6,954
- 9,856
Watanganyika ni waoga sana, labda tuanze kuchanganya damu na Wapemba 😢
Watanganyika ni waoga sana, labda tuanze kuchanganya damu na Wapemba 😢
Uko sashihi kabisa, ni ngumu sana binadamu kushinda dhidi ya wakati. They are comingHuu ndo ukweli CCM imekataliwa na most of people.
Wengi ni vijana waliozaliwa 1990s
Hivyo kizazi cha hakina kayafa kinabidi kiishe chote.
Hiki kizazi cha 1950+ kimejaa watu makatili waliopoteza utu na Heshima na wanaofanya siasa za chuki na kukomoana.
Pendekezo vyama vya upinzani makini wapeni vijana nafasi.
Wanapenda na mpira sana pia.Vijana hawa waliozaliwa 90 wengi wanependa miziki hii ya kuvaa vinguo vya kubana hata hawafautilii siasa
Hii nasikia ni kweli kuna MATAMBIKO YA KITAIFA yalifanywa na maiti zikazikwa kama ishara ya kuzika WANANCHI wote wa TANZANIA 🇹🇿. Na hii ilifanyika kabla ya miaka ya tisini [ 90 ].
Ndio! Hii FALSAFA imeegemea kwenye ukweli kwa sababu wao, yaani wale wataalamu wa mambo ya kijamii na mahusiano ya watu walipima na wakakuta ni hivyo. Kwahiyo mabadiliko ya kweli ya kisiasa yataanzia mwaka 2030 pale ambapo yule aliyezaliwa mwaka 1990 atakuwa ametimiza miaka arobaini [ 40 ] na atakuwa na vigezo vya kugombea URAIS.Huu ndo ukweli CCM imekataliwa na most of people.
Wengi ni vijana waliozaliwa 1990s
Hivyo kizazi cha hakina kayafa kinabidi kiishe chote.
Hiki kizazi cha 1950+ kimejaa watu makatili waliopoteza utu na Heshima na wanaofanya siasa za chuki na kukomoana.
Pendekezo vyama vya upinzani makini wapeni vijana nafasi.
Hao waliokula mahindi yaliyoekewa mbolea ya viwandani ndio unawasifia? Subiri kidogo utawajua kiundani jinsi walivyo mbona utafurahi na roho yakoHuu ndo ukweli CCM imekataliwa na most of people.
Wengi ni vijana waliozaliwa 1990s
Hivyo kizazi cha hakina kayafa kinabidi kiishe chote.
Hiki kizazi cha 1950+ kimejaa watu makatili waliopoteza utu na Heshima na wanaofanya siasa za chuki na kukomoana.
Pendekezo vyama vya upinzani makini wapeni vijana nafasi.
Duh ! Hao ni hatari kwa ustawi na umoja wa nchi,Vijana akina Heri James, Makonda, Magoti, Musiba, ...etc unawaongeleaje?
Ndio maana niliuliza unajua maana ya Infrastructure?
Jibu lako linaonyesha sio tu hujuia nini maana ya infrastructure kulingana na context ya comment yangu hapo juu, bali hujui tu hata unachosimamia
Aliyekudanganya entrepreneurs hawalelewi nani?
Unajua kina nani wanahusika ku fund startups mpaka zinapokua na kuanza kuingiza revenue
Nataka ku fanya freelancing kwenye nchi ambayo hata Paypal haitambuliki?
Seriously?
Halafu mi sijapigika kishamba kama wewe... We umepigika mpaka kiakili
Sawa dada, nimekuelewa!Itoshe kusema tu, you are still a stupid mind, from the first text tu nlishajua upo kwenye hali gan na tatizo lako ni kwamba hujaelemika bado una utoto mwingi, bado hujakua! nlivokwambia umepigika nlikua sure ndo maana unalilia free lancing, kwa kifupi shida yako sio umaskini ila una upumbavu!
- Mtaji wa entrepreneurs ni matatizo, hakuna entrepreneur anaelelewa mdogo wangu!
- kwahio paypa ikiwa hairuhusu incomming transactions ndo pesa zako haziwezi kufika nchini? unajua nchi ngap haziruhusu paypal? na cha ajab nn apo mbna china na maendeleo yote bado imepiga ban youtubers, infact hakuna huduma za google wala facebook.
- in simple words as i said earlier wewe bado ni mjinga unahitaji elimu zaidi!
Huyo ni KATIBU WA CCM ⚒️ aliyetumbuliwa.Sawa dada, nimekuelewa!
Huyo ni KATIBU WA CCM ⚒️ aliyetumbuliwa.
Mimi nijitetee na nini tena? BASHIRU ALLY KAKURWA nenda CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ huko kwingine watakupoteza mkubwa wangu.una lingine la kujitetea mkuu na verification lako lisilo na msaada?
Ngoja tusakate KABUMBU, mambo mengine yatafuata baadae 🙏🏽Wanapenda na mpira sana pia.
Mimi nijitetee na nini tena? BASHIRU ALLY KAKURWA nenda CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ huko kwingine watakupoteza mkubwa wangu.
Umesahanu kusema pia ni kizazi ambacho kinapata pesa kwa njia ya 'kubet".Vijana hawa ukiwasachi mifukoni utakutana na mikeka.🤣🤣🤣Mkuu mi pia nipo kwenye umri tajwa, lakinj kizazi hiki kwa ukombozi hapana aisee.
Kizazi cha connection!! Vijiweni ni story za madem na mpira hakuna siasa hata kidogo. Kijana anamjua raisi tu kwenye serikali nzima, hawa hapana mkuu.
Miaka ya 78 kina Sitta ,Warioba na wenzie walimdindia Nyerere kuhusu mishahara ya wabunge. Wakapigwa sana lakini hali ikaonekana! Miaka ya 1986 Mwinyi alichipata alipochorwa kama mwanamuziki mbilia bel na baraza la wanenguaji akajitahidi kuwakomesha lakini msg ikafika. Miaka ya 1988 Tamasha la vijana pyong yan wakati maalim seif ameshughulikiwa na nyerere vijana walichachamaa na wakataka kumshusha Shushushu Moses Nnauye kwenye ndege, Mwinyi akashughulika nao lakini msg ikafika na UVCCM ikawa kweli ya vijana.Huu ndo ukweli CCM imekataliwa na most of people.
Wengi ni vijana waliozaliwa 1990s
Hivyo kizazi cha hakina kayafa kinabidi kiishe chote.
Hiki kizazi cha 1950+ kimejaa watu makatili waliopoteza utu na Heshima na wanaofanya siasa za chuki na kukomoana.
Pendekezo vyama vya upinzani makini wapeni vijana nafasi.
Vijana tupewe nafasi tuonyeshe uwezo wa kujenga hojaHuu ndo ukweli CCM imekataliwa na most of people.
Wengi ni vijana waliozaliwa 1990s
Hivyo kizazi cha hakina kayafa kinabidi kiishe chote.
Hiki kizazi cha 1950+ kimejaa watu makatili waliopoteza utu na Heshima na wanaofanya siasa za chuki na kukomoana.
Pendekezo vyama vya upinzani makini wapeni vijana nafasi.
Kwani mmenyimwa nafasi ya kujenga hoja?Vijana tupewe nafasi tuonyeshe uwezo wa kujenga hoja