rugumisa
Member
- May 29, 2012
- 38
- 9
Na mwandishi kama anaogopa kusoma madocuments makubwa ya lugha za kisomi za maprofessa na mshauri asome novel iliyoandikwa kwa lugha nyepesi na mwandishi wa kinaigeria anayoitwa Elechi Amadi jina la kitabu ni sunset in Biafra.wameeleze mkasa wa biafra kwa lugha ya kawaida.