Ngongo,
Ingekuwa vizuri kama ungeweza kutumia uzoefu wako uandike makala "What happened to our indigenous industries," kwa sababu suluhu waliyotumia akina Mwinyi na Mkapa, ya kubinafsisha kila kitu kiholela, ni ya madhara makubwa kwa Tanzania as a nation kulinganishwa na malalamiko kuwa viwanda vilikuwa havi-perform, therefore bora kubinafsisha kuliko kuviacha kuwa mzigo kwa taifa. Lingekuwa somo zuri sana kwa Watanzania wanaotafuta njia mbadala ya ubinafsishaji kiholela kama solution and the only way to development.
Ingekuwa vizuri kama ungeweza kutumia uzoefu wako uandike makala "What happened to our indigenous industries," kwa sababu suluhu waliyotumia akina Mwinyi na Mkapa, ya kubinafsisha kila kitu kiholela, ni ya madhara makubwa kwa Tanzania as a nation kulinganishwa na malalamiko kuwa viwanda vilikuwa havi-perform, therefore bora kubinafsisha kuliko kuviacha kuwa mzigo kwa taifa. Lingekuwa somo zuri sana kwa Watanzania wanaotafuta njia mbadala ya ubinafsishaji kiholela kama solution and the only way to development.