logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,240
- 5,533
Looh ni nyingi sana.Zile ni ofisi za idara ya maji nimeambiwa! Ila kwa sasa wachina wanaochimba mitaro ndiyo wanaozijenga na kuzitumia,ila watakapomaliza kazi zao wataziacha hizo nyumba chini ya Auwsa!
Hapa wachina wapo mda mrefu