Gustanza_The
Senior Member
- Aug 6, 2008
- 126
- 7
Wakuu, nani anafahamu [kiundani] kuhusu uhaini wa aliyewahi kuwa the first Chief of Defence Forces, General Mrisho Sam Hagai Sarakikya...? Niliwahi kusimuliwa zamani kuwa huyu jamaa alipanga kuipindua nchi/ua Nyerere enzi hizo[Lugalo], na kwamba mtu pekee aliyeokoa hayo mapinduzi alikuwa ni General David Musuguri. Je, ni kweli?
P.S. Kuna paper ninayoaandika kuhusu hali aya kisiasa nchini Tanzania tangu tulipopata uhuru mwaka 61 mpaka leo hii, hivyo I want to get the facts straight kabla sija-submit hiyo paper. So help me by posting down anything you know about uhaini wa huyu jamaa. Just anything.
Peace!
P.S. Kuna paper ninayoaandika kuhusu hali aya kisiasa nchini Tanzania tangu tulipopata uhuru mwaka 61 mpaka leo hii, hivyo I want to get the facts straight kabla sija-submit hiyo paper. So help me by posting down anything you know about uhaini wa huyu jamaa. Just anything.
Peace!