Haya polisi wamenyanganywa bunduki,raia wanauawa na majambazi na kuporwa mali zao,sasa huyu shimbo aliyeapa kupambana na raia wkt wa uchaguzi yupo wapi jaman atumie maguvu yake kwa majambazi??au kwakuwa ni kgm ni sawa?tunamtaka atokeze na kutupa mkakati wa kulinda wananchi dhidi ya huu uvumjifu wa amani labda kama anawaogopa kwakuwa nao wana silaha kama yeye