Hivi mnasubiri nini kuhamia Chato nyie viwavi wake?Utakuwa ni mkoa unaofikika kiurahisi toka pande zote za Tanzania maana unafikika kwa barabara, maji na ndege.
Makao makuu ya mkoa yatakuwa Chato na hapa kuna kila aina ya fursa, utalii,kilimo na uvuvi.
Hivyo ni kipindi cha watanzania waende kuwekeza Chato kwenye kila sekta kama kilimo, uvuvi na viwanda.
My take: Chato kuwa mkoa ni sehemu ya kuenzi kazi kubwa aliyoifanya JPM kwa taifa letu
Huna akiliHivi mnasubiri nini kuhamia Chato nyie viwavi wake?
Hakuna mfanya biashara ataenda huko,aliwatesa sana na kuwapora Mali zao,
Jikusanyeni muhamie huko nyie wenye mapenzi na marehemu
Kwani bado mko na utawala wa jiwe?Tumekubali kuongozwa na wajinga.
Zetu dua,tunalaani vikali maamuzi ya kishetani kama haya.
Mimi najiandaa kwenda kuwekeza kwenye kilimoWazo zuri kweli
Ungeanza wewe kwenda kuwekeza huko
Onesha mfano
Ova
Sawa tutegeme lini mrejeshoMimi najiandaa kwenda kuwekeza kwenye kilimo
Tuliza munkariSawa tutegeme lini mrejesho
Ova
Hamna lolote hapo wanatafuta jimbo la kumpa mtu 2025.Geita yaridhia kuanzishwa Mkoa wa Chato. RCC yatoa mapendekezo. Baadhi ya maeneo kutoka mikoa jirani. RC Geita Mhe Rosemary Sitaki awashukuru Wananchi kukubaliana kwa hekima bila ushabiki.
Kikao cha Kamati ya Ushauri ya mkoa - REGIONAL CONSULTATIVE COMMITTEE (RCC), Kilichokaa kama kikao Maalum leo kwaajili ya Mapendekezo ya kuunda Mkoa Mpya wa Chato, Kimependekeza yafuatayo:
1. Mkoa Mama wa Geita ubakiwe na Wilaya tatu ambazo ni Wilaya ya Geita, Mbogwe na Wilaya ya Nyang'hwale.
2. Imependeleza iombwe Wilaya ya Sengerema ambayo ipo Mkoa wa Mwanza, ili iweze kukamilisha Wilaya nne za Geita pamoja na Wilaya Pendekezwa ya Busanda.
3. Mkoa wa Chato imependekezwa kwa iundwe na Wilaya za Geita ambazo ni Chato yenyewe, na Wilaya ya Bukombe.
4. Pia imependekezwa kutoka Kigoma, iombwe eneo kutoka Wilaya ya Kakonko, pia kutoka Kagera imependekezwa ziombwe Wilaya mbili ambazo ni Biharamulo na Wilaya ya Ngara.
Mapendekezo haya yamekamilika na yamekubaliwa na wajumbe wote wa RCC.
Sasa yatapelekwa kwenye Wizara husika ili yaweze kufanyiwa kazi.
Zaidi, soma; News Alert: - Geita: Baraza la Madiwani laukataa Mkoa mpya wa Chato
hakuna haja. watu wanawekeza penye hela. penye fursa.Utakuwa ni mkoa unaofikika kiurahisi toka pande zote za Tanzania maana unafikika kwa barabara, maji na ndege.
Makao makuu ya mkoa yatakuwa Chato na hapa kuna kila aina ya fursa, utalii,kilimo na uvuvi.
Hivyo ni kipindi cha watanzania waende kuwekeza Chato kwenye kila sekta kama kilimo, uvuvi na viwanda.
My take: Chato kuwa mkoa ni sehemu ya kuenzi kazi kubwa aliyoifanya JPM kwa taifa letu
Umeishia darasa la ngapi?hakuna haja. watu wanawekeza penye hela. penye fursa.
mtu hawez toka dar kawekeza.. atokea arusha kawekeza..atoke mbeya mwanza kawekeza. tena biashara kubwa ..kampuni.
eti aende chato? kufanya nn?
Inafuatwa pesa sio mtu ambae alishapita zake
Buriani Geita. Ni ushamba kuna ulazima gani? Mbona Morogoro haigawiki?
Hilo ni pori la akibaBuriani Geita. Ni ushamba kuna ulazima gani? Mbona Morogoro haigawiki?