Geita: Wananchi wamuua aliyemshambulia Askari

wacha ngonjera mkuu.

usichojua polisi hawatoki jupiter, ni hawa hawa ndugu zetu na binamu zetu.

yaani ukimdhuru polisi basi, mpenzi wako au mwenye nyumba wako, au boss wako kazini, au dereva wako atakujulisha kwamba hatakuhudumia, maana kafiwa au anauguliwa.

chuki dhidi yao ni za kiasi tu, wala zisije kukupoteza ukadhani anaweza kudhulika au kuuawa watu wakampa zawadi mtendaji.
Muache kutumika na majizi ya ccm, sina chuki na polisi nina uchungu na hasira namna hii taasisi imenajisiwa na ccm. Kwa taarifa yako tu mshua ameshakuwa boss wenu akiwa staff officer kanda ya ziwa mkoa X, nina ndugu, jamaa na marafiki kibao humo sina chuki.

Tunataka kuona Tanzania ya haki, amani na upendo. Hatutaki kodi zetu zitumike kuwalipa mishahara halafu ccm wawaamrishe mje kutupiga virungu, mtubambikizie kesi kisha mnaishia kuishi maisha duni, ya ufukara. Mmeingia kwenye ugomvi wa watanzania vs ccm, mmekubali kufom alliance na adui
 
Muache kutumika na majizi ya ccm, sina chuki na polisi nina uchungu na hasira namna hii taasisi imenajisiwa na ccm. Kwa taarifa yako tu mshua ameshakuwa boss wenu akiwa staff officer kanda ya ziwa mkoa X, nina ndugu, jamaa na marafiki kibao humo sina chuki.

Tunataka kuona Tanzania ya haki, amani na upendo. Hatutaki kodi zetu zitumike kuwalipa mishahara halafu ccm wawaamrishe mje kutupiga virungu, mtubambikizie kesi kisha mnaishia kuishi maisha duni, ya ufukara. Mmeingia kwenye ugomvi wa watanzania vs ccm, mmekubali kufom alliance na adui
haki haitapatikana polisi wala popote dunia hii,

umeona hata mbinguni shetani alifukuzwa, sababu alidai haki sawa.
 
Nikifiri RPC atakataa wanannchi kujichukulia sheria mikononi kumbe kupambana na polis

USSR
Huyu Kamanda hamnazo kabisa. Sijaona popote akilaani wanachi kumuua huyu jamaa, ila ameona la maana ni kusema wasiwashambulie polisi. Hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom