nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Imetokea jioni ya leo kijijini Nyambogo jimbo la Geita Mjini ambapo Mgombea wa CHADEMA Rogers Luhega alikuwa na Mkutano wa Kampeni.
Wakiongozwa na Balozi wao walianza kushambulia watu kwa mawe na kumlazimu askari aliyekuwepo kujaribu kuwadhibiti na kumzidi nguvu wakamjeruhi na kuharibu pikipiki yake na sasa kakimbizwa kituo cha afya Kasamwa kwa Matibabu.
Wiki iliyopita mgombea huyo pia msafara wake ulishambuliwa Mjini Geita wakati akipiga kampeni za mtaa kwa mtaa.
Majuzi pia alifanyiwa vurugu Kijiji Cha Buhalahala.
Kwa ujumla hali Ya CCM ni mbaya Jimboni humo.
UPDATES
Hali ya afande ni mbaya yupo ICU hospitali ya mkoa wa Geita Muda Huu.Taarifa Mpya Nikwamba Watuhumiwa 5 Wamekamatwa,ng Pia Vurugu Zingine Zilitokea Jana Kijiji Cha Igate Jimbo La Geita Vijijini Ambapo Mgombea Wa Ccm Ni Ndg.Musukuma Kufika Kijijini Hapo Akiwa Na Kundi La Vijana Wake Kuwaamuru Washushe Bendera Za Chadema Na Kuzuka Mapigano Makali Kwa Wafuasi Wa Vyama Hivyo Na Kupelekea Majeruhi Kadhaa.
Wakiongozwa na Balozi wao walianza kushambulia watu kwa mawe na kumlazimu askari aliyekuwepo kujaribu kuwadhibiti na kumzidi nguvu wakamjeruhi na kuharibu pikipiki yake na sasa kakimbizwa kituo cha afya Kasamwa kwa Matibabu.
Wiki iliyopita mgombea huyo pia msafara wake ulishambuliwa Mjini Geita wakati akipiga kampeni za mtaa kwa mtaa.
Majuzi pia alifanyiwa vurugu Kijiji Cha Buhalahala.
Kwa ujumla hali Ya CCM ni mbaya Jimboni humo.
UPDATES
Hali ya afande ni mbaya yupo ICU hospitali ya mkoa wa Geita Muda Huu.Taarifa Mpya Nikwamba Watuhumiwa 5 Wamekamatwa,ng Pia Vurugu Zingine Zilitokea Jana Kijiji Cha Igate Jimbo La Geita Vijijini Ambapo Mgombea Wa Ccm Ni Ndg.Musukuma Kufika Kijijini Hapo Akiwa Na Kundi La Vijana Wake Kuwaamuru Washushe Bendera Za Chadema Na Kuzuka Mapigano Makali Kwa Wafuasi Wa Vyama Hivyo Na Kupelekea Majeruhi Kadhaa.