Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,196
- 25,515
Wachimbaji wadogo wa madini wa huko mkoani Geita wamevamia mgodi wa Buckreef. Wamedai kuwa Kibali cha Mwekezaji kilishaisha na wananchi hawakulipwa fidia ya maeneo yao
Mmoja wa wawekezaji katika mgodi huo ni STAMICO. Mkuu wa Wilaya ya Geita,Herman Kapufi amewataka wachimbaji hao wadogo kuondoka mgodini hapo ndani ya siku tatu kupisha maelekezo ya Serikali
Chanzo: ITV Habari
Mmoja wa wawekezaji katika mgodi huo ni STAMICO. Mkuu wa Wilaya ya Geita,Herman Kapufi amewataka wachimbaji hao wadogo kuondoka mgodini hapo ndani ya siku tatu kupisha maelekezo ya Serikali
Chanzo: ITV Habari