Kabuche1977
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 564
- 225
Wanageita wengi leo tulifurika katika vituo vya kupigia kura, hatimaye ile zawadi yetu tuliyomwahidi raiis wetu mtarajiwa imetimia, mimi na familia yangu----FirstLady1 na wadogo zetu tumepiga kura, labda CCM waibe kura zetu.
Nilijaribu kuwauliza wapiga kura wengine, ila kusema ukweli, raisi wetu mtarajiwa watu wengi wamempigia, asubirie kuingia ikulu. Ebu watu endeleeni kutuma habari.
Go Dr.Slaa, goooooooooooooooo!
Nilijaribu kuwauliza wapiga kura wengine, ila kusema ukweli, raisi wetu mtarajiwa watu wengi wamempigia, asubirie kuingia ikulu. Ebu watu endeleeni kutuma habari.
Go Dr.Slaa, goooooooooooooooo!