mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,688
- 105,677
Waroho wanatamaaNadhani watumishi wengi wa hii mamlaka sio waadilifu. Wanatumia kodi kama silaha ya kutisha walipakodi.
Ova
Waroho wanatamaaNadhani watumishi wengi wa hii mamlaka sio waadilifu. Wanatumia kodi kama silaha ya kutisha walipakodi.
TRA kuna watu wana roho ngumu na tabia za ujambazi. Cleaning of that institution is inevitable.TRA staff ni waroho wezi walafi
Juzi juzi tu ikulu kulikuwa na mkutano rais akiwemo wamesemwa sana!
Hawa Inabidi sasa tuwatandike bakora hadharani
Ova
Usipofanya nao kazi huwezi kuelewa. TRA wengi wanahujumu uchumi. Hawajari kufilisi wafanya biasharaTusiamini kila tunachoambiwa.
Anyway, kesi ipo mahakamani tusubiri ushahidi na hukumu.
Naandika ninachokielewa Mzee. RelaxUsipofanya nao kazi huwezi kuelewa. TRA wengi wanahujumu uchumi. Hawajari kufilisi wafanya biashara
Anyway niaongea from experience. Nafanya biashara miaka mingi sanaNaandika ninachokielewa Mzee. Relax