exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,189
- 3,684
Imetokea katika wilaya ya Mbogwe kata ya Lulembela mkoani Geita, ambapo tukio limetokea mida ya saa 6 mchana.
Wawili hao wenye watoto saba imegundulika baada ya mtoto kutoka shule na kukuta nyumba imefungiwa ndani huku mziki ukiwa unapigwa (sabufa) badae mtoto akaenda kuita majirani baada ya kubomoa mlango wakakuta maiti ya mwanamke akiwa amejinjwa shingoni na pia maiti ya mwanaume huyo akiwa na alama ya kisu shingoni na tumboni kilipokuwa kisu.
Tayari polisi wameshafika eneo la tukio.
MME KAMCHINJA MKE WAKE
Wawili hao wenye watoto saba imegundulika baada ya mtoto kutoka shule na kukuta nyumba imefungiwa ndani huku mziki ukiwa unapigwa (sabufa) badae mtoto akaenda kuita majirani baada ya kubomoa mlango wakakuta maiti ya mwanamke akiwa amejinjwa shingoni na pia maiti ya mwanaume huyo akiwa na alama ya kisu shingoni na tumboni kilipokuwa kisu.
Tayari polisi wameshafika eneo la tukio.