britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Anatarajia kutua kupitia Chato International Airport,
Atatembelea Mbuga na Milima huko Chato
#ZIARA Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kesho Jumamosi Julai 13, atafanya ziara binafsi ya siku moja nchini, ambapo atamtembelea mwenyeji wake Rais Dk. John Magufuli kijijini kwake Mlimani, Chato mkoani Geita na kufanya mazungumzo naye.
Britannica
Atatembelea Mbuga na Milima huko Chato
#ZIARA Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kesho Jumamosi Julai 13, atafanya ziara binafsi ya siku moja nchini, ambapo atamtembelea mwenyeji wake Rais Dk. John Magufuli kijijini kwake Mlimani, Chato mkoani Geita na kufanya mazungumzo naye.
Britannica