Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,481
- 3,991
Kama ukikuwepo akilini mwangu Nina wasiwasi na hizi ziara Nadhani kuna mahali mzee baba anakwama hivyo anahitaji uzoefu, na kuna uwezekano anawaalika Kenyata ni mambo ya biashara. M7 ni maswala ya siasa maana bob eine na Lisu wanafanana na Kagame akiitwa basi utamalizia mwenyewe nn kinafutaa maana jamaa sianapenyeza kila nchi kuwafuata wapinzani wake ....... Hofu yangu hizi ziara zinawezankutumiwa na wabaya wa hao marais sijajua na mm si mtaalamu wa maswala ya ulinzi na usalama sijui chato iko na capasity ganinyakupokea rais na kulinda msafaraKagame ana tua lini kumalizia circle?