Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,632
- 9,445
Kaka yangu ni mlemavu wa akili (down's syndrome) jumapili alichomwa moto akiwa mzima hadi kufa walidhani ni mwizi ukimuangalia vizuri unamjua kabisa huyu ni tahaira.
Lakini cha ajabu waliofanya tukio ilo wameachiwa huru wapo uraiani licha ya kuwepo ushaidi wa video
Lakini cha ajabu waliofanya tukio ilo wameachiwa huru wapo uraiani licha ya kuwepo ushaidi wa video