Geita: Ajali yaua 10 Bukombe, gari la Jeshi lilitokea Bukoba kwenda Dar

Kwamba ukiambiwa taja plate number utataja kwa kuondoa herufi zake. Kama gari ni T 374 DDF ukitaja wewe utaondoa herufi utaje 374
Kua muelewa,issue ni herufi iliyotumika ili kuwasilisha namba!

Hiyo comment imetaja "Namba E" ndio akaambiwa E sio namba ni herufi,huo mfano wako hauhusiani na huo mjadala.

Kwa kutumia huo mfano wako,ina maana ukiulizwa number plate ya gari yako utasema "Namba T?"
Watu wanaongea kimazowea tu ila ni makosa.
 
Kua muelewa,issue ni herufi iliyotumika ili kuwasilisha namba!

Hiyo comment imetaja "Namba E" ndio akaambiwa E sio namba ni herufi,huo mfano wako hauhusiani na huo mjadala.

Kwa kutumia huo mfano wako,ina maana ukiulizwa number plate ya gari yako utasema "Namba T?"
Watu wanaongea kimazowea tu ila ni makosa.

Mkuu hao jamaa tukianza na Extrovert wameeleweka hata kama hawapo sahihi, hii ipo kimazoea zaidi.

Hauwezi kusema namba T kwa sababu hiyo haibadiliki, ipo constant, matoleo ya magari hayaiathiri.

Namba zinazobadilika ni hizo tarakim na herufi. Imekua kawaida na mazoea watu kutumia herufi kujua gari imesajiliwa lini.
Kwa mfano sasa hivi namba inayotawala ni D ambayo kama sikosei inaelekea ukingoni tuanze E, sasa wengi wameshangaa tumefika ERZ lini? Kwa mfumo tuliouzoea, hiyo ni gari imeingia karibuni na ina usajili wa mbele sana ukizingatia namba zinaenda kwa mfumo wa AAA hadi AZZ ndio ihamie herufi inayofuata.

Hayo mazoea yamepelekea ukisema herufi ukimaanisha usajili wa gari, watu hawatakuelewa, neno namba limetawala hata kama lengo ni hizo herufi.

Shukrani
 
Mkuu hao jamaa tukianza na Extrovert wameeleweka hata kama hawapo sahihi, hii ipo kimazoea zaidi.

Hauwezi kusema namba T kwa sababu hiyo haibadiliki, ipo constant, matoleo ya magari hayaiathiri.

Namba zinazobadilika ni hizo tarakim na herufi. Imekua kawaida na mazoea watu kutumia herufi kujua gari imesajiliwa lini.
Kwa mfano sasa hivi namba inayotawala ni D ambayo kama sikosei inaelekea ukingoni tuanze E, sasa wengi wameshangaa tumefika ERZ lini? Kwa mfumo tuliouzoea, hiyo ni gari imeingia karibuni na ina usajili wa mbele sana ukizingatia namba zinaenda kwa mfumo wa AAA hadi AZZ ndio ihamie herufi inayofuata.

Hayo mazoea yamepelekea ukisema herufi ukimaanisha usajili wa gari, watu hawatakuelewa, neno namba limetawala hata kama lengo ni hizo herufi.

Shukrani
Asante kwa kunisaidia naamini wewe ni learned bro! Umeelewa kwa wepesi sana
 
Scania T 130 ERZ 😟😳😳😳😎😎😎 tulishafika namba “E” kumbe?
Jamaa kanistua Sana wakati tushajiwekea malengo kuwa na E za mwanzon mwanzon nijiondoe kwenye kundi la wanaisrael Mara jamaa anakuja kusema saiz n ERZ dah nilitaka niwe mwarabu ninunue chasis niliweke nje watu wajue nina malengo.

Pole kwa majeruhi na ndugu waliopoteza wapendwa wao
 
Hata kama tumefika herufi E,ndiyo iwe ERZ?? Hivi unadhani ni mchezo kuimaliza herufi na kwenda nyingine?? Tunaweza kaa miaka 3 hadi 4 ndiyo tunahama herufi! Bado tupo kwenye DRZ huko!
Ukianzia wapi nimequote utaona naisema E na wala sio ERZ. Nami najua kuwa ERZ hatujafika bali ni makosa ya mwandishi ila E tumefika
 
Kua muelewa,issue ni herufi iliyotumika ili kuwasilisha namba!

Hiyo comment imetaja "Namba E" ndio akaambiwa E sio namba ni herufi,huo mfano wako hauhusiani na huo mjadala.

Kwa kutumia huo mfano wako,ina maana ukiulizwa number plate ya gari yako utasema "Namba T?"
Watu wanaongea kimazowea tu ila ni makosa.
Nikiulizwa namba ya gari ndio nitataja T 374 DEF kama ndio hiyo. Wewe utataja 374 pekee?
Kama gari limesajiriwa kwa T na hakuna kingine nitataja kama namba ya usajiri. Kama gari la Waziri wa Nishati na Madini linatajwa hapa tutasema namba za usajiri ni "W NM" wala hatutaziita herufi za usajiri. Hii ni kwenye Kiswahili na kimalkia

Namba za usajiri na tarakimu ni vitu tofauti. Muktadha wetu hapa ni plate number za gari
 
Wabongo Bwana! Wamehamishia mjadala kwenye namba za gari na kuiacha habari husika upenuni. Tungependa kujua nani wamekufa?, nani wamejeruhiwa?, Hali za majeruhi zikoje?, majeruhi na marehemu wamepelekwa wapi? Ili kama kuna ndugu na jamaa waweze kuwapata wapendwa wao kwa msaada zaidi na marehemu wao wawapate ili wakawahifadhi.
 
Back
Top Bottom