Elections 2010 GDP ndiyo kipimo cha Umaskini, Dr. Slaa alikuwa sahihi?

Jamani huyu dadangu kama ni dada maana kule TANGA tunatumia zawadi kwa jinsia zote! Namuomba sana asinitie kichefuchefu cha kibondei hapa!!! Mbona asiziseme blandaz za mkwele anaesimama jukwaani nakuanza kucheza na kutoa ahadi? JE NDO mantiki ya kampeni hiyo? YUPI BORA aliesema tu maskini au alishindwa kujua chanzo cha umaskini wa watu wake? kwahiyo BONGO ni tajiri??? KAPUMZIKE mwaya usubiri mihogo na machungwa pamoja na uwono bonge!!!
 
8E9U9965.jpg


Tanzania imeendelea sana hebu angalieni foleni mjini Dar es Salaam na magorofa yanazidi ongezeka!
Please explain in details are these data in Zimbabwe Dollars?....Doubt Equatorial Guinea and South Africa, is per capital income or......?
 
Zawadi Ngoda,

..Slaa hakuwa anazungumzia utafiti uliofanywa na World Bank.

..unachotakiwa kufanya ni kujua Dr.Slaa alikuwa anatumia utafiti wa taasisi ipi, na kama alinukuu vibaya utafiti huo.

..vilevile unaweza kupinga mambo kama njia zilizotumiwa na taasisi husika ktk kufikia conclusions zao.

..kwa upande mwingine sidhani kama tunahitaji taarifa za utafiti kujua kwamba nchi yetu ina matatizo, na umasikini wa kutupwa, na serikali ya CCM imekuwepo madarakani kwa miaka zaidi ya 30.
 
Hivi ulielewa alimaanisha nini au umejitungia swali na kulijibu mwenyewe? Tumia ubongo kufikiri mama usi2mie ........! Kama ni viti maalum umevikosa!
 
Huyu Zawadi ni Alqaeda. Si unajuwa alqaeda ajenda yao ni dini hata kama mdini mwenzake anafanya maovu kiasi gani kwa WatZ yeye hajali hicho.
 
Kama kweli Dr Slaa ni muongo basi uongo wake hauko mbali na ukweli kwamba TZ is in deep sh**t and sh**t is just that - sh**t!
Muongo ni yule ambaye anamsafisha mtu alituhumiwa na bunge kwa ufisadi na kusema eti "alionewa"

Muongo ni yule anayemsafisha mtuhumiwa wa ufisadi kuwa eti ni "jembe la zamani lisiloisha makali"

Muongo ni yule anayeahidi "kumpatia nafasi nyingine" mtu mwenye tuhuma za uhalifu wa kugushi vyeti vya kuzaliwa

Muongo ni yule anayezikataa kura za wafanyakazi huku nchi nzima ikimsikiliza lakini baadae anadai alinukuliwa vibaya

Muongo ni yule anayesema safari zake nyingi za kwenda Marikani ni kuhemea kibaba kumbe anakwenda kuburudika na boyz 2 men

Muongo ni yule anayekataa katakata kuwa elimu bure haiwezekani lakini baadae anamtuma mdogo akaseme completely the opposite!

Kuna haja ya kuendelea?

Waste of time...I rest my case!
 
Zawadi Ngoda,

..Slaa hakuwa anazungumzia utafiti uliofanywa na World Bank.

..unachotakiwa kufanya ni kujua Dr.Slaa alikuwa anatumia utafiti wa taasisi ipi, na kama alinukuu vibaya utafiti huo.

..vilevile unaweza kupinga mambo kama njia zilizotumiwa na taasisi husika ktk kufikia conclusions zao.

..kwa upande mwingine sidhani kama tunahitaji taarifa za utafiti kujua kwamba nchi yetu ina matatizo, na umasikini wa kutupwa, na serikali ya CCM imekuwepo madarakani kwa miaka zaidi ya 30.

HIZI NDIO PUMBA NISIZOZIHITAJI! Hivi nyie CHADEMA MNAUMWA ?

Ok, tuseme ameteleza ulimi au pengine kachukua data za taasisi nyingine, MIMI NIMEWAOMBA HAPA HADHARANI SOURCE ya kule alikozipata hizo takwimu? Nawaomba wote msaidiane hapa ili mniletee hiyo source HATA KAMA IKIWA NI KUTOKA KWA WATAALAMU WA CHADEMA. Mradi kama ilifanyika mimi nitaikubali.

Pili unasema tuna matatizo, ahh hapa sikuelewi kabisa, Amini nakwambia nchi zote za Afrika zinamatatizo ya uchumi hata huko A. Kusini.
Tunachzungumzia hapa ni ulinganisho wa nchi za Afrika na sio kama tuna matatizo au hapana.

Mwisho hizo ni Dola za Kimarekani.

Kuna wanaotaka benki ya dunia, huko nimepita mambo ni hayo hayo. Sasa nawe fanya kazi kidogo nipe nafasi ya TANZANIA katika Afrika toka kwa BENKI YA DUNIA au SOURCE yeyote ile unayoifahamu.

SASA SI KAPENI TUWE MAKINI TUZUNGUMZIE UCHUMI.
 
Heshima yangu kwa Mh Slaa sasa hivi ndio imetoweka kabisa. Sidhani kama baada ya maelezo na uthibitisho wangu hapa, kuna mtanzania yeyote yule atamuamini, hasa katika kumpa kura na kushika nafasi kubwa ya URAIS.

Nanukuu maneno yake: "Tanzania inashika nafasi ya 2 au ya 3 kwa umasikini Afrika". Maneno hayo kayasema bila kutoa chanzo (source) ya kuthibitisha uhakika wa maneno hayo.
Afrika ina ina nchi 52, maana yake sisi ni wa 49 au 50. Ukitembelea World Rankings and Records, unapata takwimu nyingine kabisa. Hivi ndivyo huo mtandao unavyoipa nafasi Tz.

1. Equitorial Quinea............................dola $ 30 200

2. Botswana...................................$ 15900


3. Gabon..........................................$ 14900


4. Libya.........................................$ 14900

6. Afrika kusini.................................$ 10000

.............................................

..................................................

27. Ghana.......................................$ 1500

................................................

..................................................



30. TANZANIA...............................$ 1400

.................................................

...............................................

42. Malawi .....................................$ 800

....................................................

..................................................

49. Liberia.....................................$ 500

..............................................

52. Zimbabwe...........................$ 400

Swali. No 49 ni nafasi inayochukuliwa na nchi gani? Hata swali hilo kama Mh Slaa akishindwa kujibu, sasa huyo atakuwa zaidi ya kilaza.

Nimepitia mitandao tofauti 10 maarufu hapa duniani, toka benki kuu ya dunia mpaka paris club, lakini hakuna mtandao uliyoiweka TANZANIA chini ya No 36 ktk Afrika.

Sasa huyu KILAZA WENU, hiyo Nafasi ya 2 au 3 aliipata wapi? Au ndio ameamua kuchukua takwimu za miaka ya 1980-95? Amepitwa na wakati kabisa, tena hatufai kabisa.

Hatutaki raisi muongo na kama si muongo basi haujui kabisa uchumi. Mimi sijui lipi la kweli kwake kati ya hayo mawili.

Ninachojua ni kimoja, iwe la kwanza au la pili ndio linaendana na Mh Slaa, basi hafai kuwa Rais katika kipindi hiki ambapo uchumi ni ISSUE.
Mzee hivi umesoma Shule? umewahi andika literature review kwenye research? Unajua umuhimu wa citation? kama unayajua haya huwezi kuja na simple conclusion kama yako. Kwani inategemea na source aliyotumia, Sasa huwezi kuconclude bila kutafuta reference aliyotumia.
 
Zawadi na wenzio wenye falsafa za udaktari unaozidi wengine MNA AKILI NYINGI SANA ZA KUFIKIRI. Mbona hamjamshauri mgombea wa ccm ILI AWE NA DATA ILI KUUSHAWISHI UMMA KUWA TZ SIO MASKINI? Au hamjui kuwa yeye hajui Tz ni maskini au sio?

Kwa PHD ZENU MTANDAO UNA HABARI ZOTE KWA KINA KUHUSU NINYI WENYEWE KULIKO MNAVYOJIFAHAMU.
Kwa hili poleni sana.

Sikuwahi kumuona juha ana akili kuliko Zawadi anayeweza kufungua tovuti mbalimbali ili ajue nchi yake inashika nafasi ya ngapi kwa "ufukara". Ila kwa kuwa kawaida ya waongo na vipofu ni; BLACK=WHITE & DARK=LIGHT, MEREMETA=USALAMA WA... KAGODA= HATUJUI...DOWANS=? IPTL=? TIKITIKS=? KOTEKINA=? EPA=? URANIUM=VYANDARUA MIKATABA YA MIGODI=?^...
TUNAWAKUBALIA TU.
 
Mzee hivi umesoma Shule? umewahi andika literature review kwenye research? Unajua umuhimu wa citation? kama unayajua haya huwezi kuja na simple conclusion kama yako. Kwani inategemea na source aliyotumia, Sasa huwezi kuconclude bila kutafuta reference aliyotumia.

NDUGU YANGU ni siku tatu toka atoe ule mdahalo, kwa vile mimi ni mtu makini skutaka kukurupuka na kuweka hoja zangu hadharani. Nimewauliza viongozi wa CHADEMA hapa Magomeni (sio Mh Slaamwenyewe), hakuna aliyenipa source.


Nimeendelea kuwaomba hapa mtandaoni, vigezo au taasisi alikochukua hizo takwimu. Wote mnakuja na majibu kama yako, hujui.....hujui ......hujui alikochukua takwimu. Sasa mimi nashangaa, mbona takwimu kama hizo huwekwa mtandaoni na sio siri, hivi hakuna hata mmoja kati yenu anayeweza kutudokeza kule alikozipata hizo takwimu?


Sasa nakuomba wewe utupe SOURCE ya Mh Slaa alikozipata hizo takwimu. HAKIKA MIMI NITAOMBA RADHI HAPA JF kama itathibitishwa kuwa maneno yangu ni uongo. Vinginevyo Mh Slaa atakuwa ni Bomge la MUONGO!

SASA TUWE MAKINI TUACHANE NA KAMPENI, TUZUNGUMZIE UCHUMI
.
 
Na uko ulikotoa report yako wanasema "Tanzania is in the bottom 10% of the world's economies in terms of per capita income. The economy depends heavily on agriculture, which accounts for more than one-fourth of GDP, provides 85% of exports, and employs 80% of the work force."
 
Zawadi na wenzio wenye falsafa za udaktari unaozidi wengine MNA AKILI NYINGI SANA ZA KUFIKIRI. Mbona hamjamshauri mgombea wa ccm ILI AWE NA DATA ILI KUUSHAWISHI UMMA KUWA TZ SIO MASKINI? Au hamjui kuwa yeye hajui Tz ni maskini au sio?

Kwa PHD ZENU MTANDAO UNA HABARI ZOTE KWA KINA KUHUSU NINYI WENYEWE KULIKO MNAVYOJIFAHAMU.
Kwa hili poleni sana.

Sikuwahi kumuona juha ana akili kuliko Zawadi anayeweza kufungua tovuti mbalimbali ili ajue nchi yake inashika nafasi ya ngapi kwa "ufukara". Ila kwa kuwa kawaida ya waongo na vipofu ni; BLACK=WHITE & DARK=LIGHT, MEREMETA=USALAMA WA... KAGODA= HATUJUI...DOWANS=? IPTL=? TIKITIKS=? KOTEKINA=? EPA=? URANIUM=VYANDARUA MIKATABA YA MIGODI=?^...
TUNAWAKUBALIA TU.

Leo mpaka kieleweke, MBWEMBWE AU UCHUMI.

SASA TUWE MAKINI, WAONGO TUWAENGUE. MH SLAA NI MUONGO!!!!!!!!
 
Na uko ulikotoa report yako wanasema "Tanzania is in the bottom 10% of the world's economies in terms of per capita income. The economy depends heavily on agriculture, which accounts for more than one-fourth of GDP, provides 85% of exports, and employs 80% of the work force."

NA ALIKOTOA Mh Slaa kunasemaje? Na ni wapi? au ni siri?
 
Yaani wewe ndo Kilaza wa kutupwa kabisa halafu ukome kutumia ukilaza wako kuita watu wengine vilaza! Hivi upumbavu wako umekufanya mpaka utembelee internet ili kujua kama Tanzania ni ya mwisho kwa umaskini wakati watu wa kutumiaz kama sample wako hapo hapo kwako. Sijui umesoma wapi! Hapa hakuna haja ya kupanga Tanzania ya ngapi. Hoja hapa ni kuwa Tanzania ni maskini ya kutupwa na umaskini huo umesababishwa na nyie msioelewa na mnaouza nchi kwa wageni. Achana na Tanzania ya ngapi, wewe angalia ndugu zako wanavyohangaika na nyumba za tembe zinavuja. Ukome kabisa kuita wazalendo vilaza. Hao mafisadi wako wanaosaini mikataba wamefumba macho utawaitaje! Halo, iwe mwisho Bwana!!!!
 
Heshima yangu kwa Mh Slaa sasa hivi ndio imetoweka kabisa. Sidhani kama baada ya maelezo na uthibitisho wangu hapa, kuna mtanzania yeyote yule atamuamini, hasa katika kumpa kura na kushika nafasi kubwa ya URAIS.

Nanukuu maneno yake: "Tanzania inashika nafasi ya 2 au ya 3 kwa umasikini Afrika". Maneno hayo kayasema bila kutoa chanzo (source) ya kuthibitisha uhakika wa maneno hayo.
Afrika ina ina nchi 52, maana yake sisi ni wa 49 au 50. Ukitembelea World Rankings and Records, unapata takwimu nyingine kabisa. Hivi ndivyo huo mtandao unavyoipa nafasi Tz.

1. Equitorial Quinea............................dola $ 30 200

2. Botswana...................................$ 15900


3. Gabon..........................................$ 14900


4. Libya.........................................$ 14900

6. Afrika kusini.................................$ 10000

.............................................

..................................................

27. Ghana.......................................$ 1500

................................................

..................................................



30. TANZANIA...............................$ 1400

.................................................

...............................................

42. Malawi .....................................$ 800

....................................................

..................................................

49. Liberia.....................................$ 500

..............................................

52. Zimbabwe...........................$ 400

Swali. No 49 ni nafasi inayochukuliwa na nchi gani? Hata swali hilo kama Mh Slaa akishindwa kujibu, sasa huyo atakuwa zaidi ya kilaza.

Nimepitia mitandao tofauti 10 maarufu hapa duniani, toka benki kuu ya dunia mpaka paris club, lakini hakuna mtandao uliyoiweka TANZANIA chini ya No 36 ktk Afrika.

Sasa huyu KILAZA WENU, hiyo Nafasi ya 2 au 3 aliipata wapi? Au ndio ameamua kuchukua takwimu za miaka ya 1980-95? Amepitwa na wakati kabisa, tena hatufai kabisa.

Hatutaki raisi muongo na kama si muongo basi haujui kabisa uchumi. Mimi sijui lipi la kweli kwake kati ya hayo mawili.

Ninachojua ni kimoja, iwe la kwanza au la pili ndio linaendana na Mh Slaa, basi hafai kuwa Rais katika kipindi hiki ambapo uchumi ni ISSUE.

Kaka unachozungumzia ww ni Gross Domestic Product (GDP) whch is th measure of a country's overall economic output. It is the market value of all final goods and services made within the borders of a country in a year. So, GDP kwa Tanzania ni $ 1,421

But Dr Slaa alikuwa anazungumzia Gross National Income (GNI) consists of the personal consumption expenditures, the gross private investment, the government consumption expenditures, the net income from assets abroad (net income receipts), and the gross exports of goods and services, after deducting two components: the gross imports of goods and services, and the indirect business taxes.
The GNI kwa Tanzania: $255.97 per person.

Note: The GNI is similar to the gross national product (GNP), except that in measuring the GNP one does not deduct the indirect business taxes.

So don't u dare to call Dr PhD W.P. Slaa muongo, coz huwa haropoki tu mkuu, huwa anakusanya data kabla ya kuongea..!! Sio kama nanhiii
 
Ukweli unauma sana. Zawadi ametoa ukweli na watu wanaumia. Ni kweli kuwa Slaa huongea bila kutafakari anachoongea na baadaye huumbuka.
Afadhali kwamba hatapata URAIS aendelee kutuaibisha katika macho ya dunia. Watanzania wanajua tofauti ya pumba na mchele.
 
NA ALIKOTOA Mh Slaa kunasemaje? Na ni wapi? au ni siri?
Mimi nitajuli wapi alikotoa data zake? Siko kwenye timu yake ya Uchumi. Ukiangalia website tofauti tofauti zote zinakupa data tofauti kwa mfano aliyotoa The Dreamer au hii hapa wanasema Gross National Per Capita ni $ 370. Watu wenye jibu sahihi ni NBS na BoT.
 
maneno hayo aliyasema wapi , tuanze hapo kwanza, na alikua anazungumzia nini ?

True kaka, mi nachokumbuka ni kwamba kuna jamaa aliuliza swali kuwa anasikia kuwa Tz ni ya 3 or 2 toka mwishon, but haikuwa kauli ya Dr.
 
Back
Top Bottom