Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The situation is getting worst...kwa nini Qattara asimuachie Gabgo aongoze for the sake of wananchi? itamsaidia nini nchi ikiiningia kwenye machafuko? na yeye pia ana uchu wa madaraka.
Kwa nini Gbabgbo asimuachie Qattara ambaye alitangazwa na tume kuwa ni mshindi for the sake of the country?
Inasemekana jamaa kanunuliwa na whites kumtangaza Quattara mshindi. Wazungu wana maslah yao binafsi na ndio maana wameng'ang'ania Gabgo atoke manake hawamtaki...kwa nini hawa International forces waelemee upande mmoja tu??
Tuna uhakika gani kuwa Qattara ni mshindi halali wa uraisi?
Jamani Leornado! mwenye uchu wa madaraka ni nani? ni Qattara ambaye kachaguliwa kihalali au Gabgo anayechakachua? Kama kweli Quattara ni mroho wa madaraka uchaguzi ulikuwa wa nini? mie watanzania wengine hata sijui kama mna chembe ya kufikiri. kwa nini usiseme Gabgo aondoke kwa amani ili damu isimwagike? Watu wengine siwaelewi kabisa namna yenu ya kuwaza na kuamua. Au kwa kuwa Dr Slaa alichukua maamuzi hayo sasa itakuwa ni mchezo wa kawaida? hapana.The situation is getting worst...kwa nini Qattara asimuachie Gabgo aongoze for the sake of wananchi? itamsaidia nini nchi ikiiningia kwenye machafuko? na yeye pia ana uchu wa madaraka.
Hebu ondoka hapa na arguments zako za kitoto
He naona nimetibua hali ya hewa...huo ni mtazamo tu. Mbona mnakuwa na hasira saana mabroda?