barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,816
Kwa tafsiri isiyo rasmi, anaandika kwenye utangulizi: Maendeleo ya kidemokrasia nchini Tanzania yamerejea nyuma katika maeneo mengi: kuna zuio dhidi ya mikutano, maandamano, matangazo ya moja kwa moja kupitia vikao vya bunge na kuna hatua nyengine kali dhidi ya upinzani."
Sehemu ya chini ni maelezo mafupi ya mwandishi wa habari Salma Said juu ya namna anavyokabiliana na ugumu wa ufanyaji wa kazi zake, likiwemo tukio la Machi 2016 alipotekwa na "watu wasiojuilikana".
Hisani ya M.Ghassani