Gazeti Ujerumani laandika ukiukwaji wa "demokrasia" na "Uhuru wa habari" ktk Serikali awamu ya Tano

Ndo maana mnasababisha mpaka wanataka kuifungia jamii forums,imekuwa ya uzushi uzushi na udaku udaku na Uongo mwingi,.jana balozi wa Denmark alikuwa ofisini kwa makamu wa raisi akidai wanawekeza karibu trillioni tatu kufungua kiwanda cha mbolea pwani,balozi wa Brazil alikuwa kwa mama Samia akiangalia namna ya kuboost upande wa anga maana Brazil wanatengeneza ndege,mwezi wa 10 PM Majaliwa alitembelea plant moja ya ushilikiano wa wa Dutch,China na Suma JKT ya kutengeneza Magari design ni Double Cabin nimesahau jina,wataanza kutengeneza Magari 20 kila mwezi,na wanaanza January na mengine mengi,nyie mpo bize kupotosha humu JF kwa chuki zenu binafsi tu.Eti namna Hii itachukua muda kuiamini TZ,ninachoona wengi humu hamtoki hata nje ya nchi,huko JPM ni gumzo sana,anafagiliwa sana,mnaleta habari zenu za Lema,Lissu UKUTA,kata funua,kwa wawekezaji wanataka mtu aliye straight kama Magufuli,na wanachukia 10% zilizokuwepo huko nyuma.Ila hata mfanyeje Raisi ni JPM na Yupo hadi 2025,.Katiba ni Hii,tume ni hii hii,CCM ni hii hii.Mengine kelele tu,mnapoteza muda tu.
Mkuu, haya ni mambo ya kusikitisha sana kuona namna baadhi ya watu hapa wanaojiita wakosoaji wasivyopenda kuona maendeleo ya nchi yao. Wakati mwingine hua napata mashaka na utanzania wao, na kwa kuzingatia nature ya mitandao kwamba sio rahisi kujua uraia wa mtu merely kwa location tu, au kwa kua anaongea kiswahili fasaha. Wakati mwingine kuna baadhi ya wakosoaji wakawa maadui wasiotutakia mema. Halafu watasema kua wanakosoa. Sioni ukosoaji bali naona usengenyaji wa serikali.
 
Tumia akili, siku zote wewe huwa unarukia mambo tu; kinachozungumziwa na hiyo makala ni kuminywa kwa uhuru wa kujieleza (suppression of freedom of expression); walichofanya CIA kwa Wajerumani ni kufuatilia mawasiliano ya serikali yao kijasusi (espionage).
Huna akili ya kugundua tofauti ya mambo haya mawili

Na huyo nae ni mmoja kati ya wabunge wa ccm; huoni hasara tuliyokuwa nayo kama nchi?
 
Kuna sekta mbili zinazoongoza kwa woga Tanzania, ualimu na sekta ya habari.

Kwa sasa ukiongeza sheria mpya iliyosainiwa juzi waandishi wa habari wanaweza kuwapiku walimu kwa woga.
Tatizo kubwa hata zaidi nadhani ni watanzani mfano kwa hawa watu wa upinzani wanapata wakati mgumu sana hawapati suport kwa raia hata waandishi nadhani wapo wanaotamani kusimamia ukweli lakini watanzania hawatakuwa na muitikio wa kutosha ili ilo jambo lihusishe mamia au maelfu ya watanzani ili lisibaki kuwa bomu linalomuangukia muandishi pekee na wengine wapate moyo wa kufichua maovu ambayo hatuyajui,hawawezi kuandika kwa sababu yakiwapata yanawaathiri wao binafsi zaidi
 
Pole sana kiongozi nimeona hilo hata jamaa zangu ambao nilisoma nao kwa sasa ni walimu huwa nawashangaa namna walivyo tukikutana kupiga stori mbili tatu yaani wamejiweka kwenye tabaka la uwoga kutojiamini kabisa, kwa hii hali mpk najiuliza wanafundishaje huko darasani ili kuwapa confidence watoto wetu? Mfuko huh ukiendelea mbele zaidi tutaja kuwa taifa za lenye watu mithili ya uze..ta.
Yaani ndugu yangu we acha tu, sometimes huwa naumia kimya kimya walimu raia mnavyotulaani. Lakini nikiangali kwa jicho la tatu naona tunastahili kunangwa.
 
Tatizo kubwa hata zaidi nadhani ni watanzani mfano kwa hawa watu wa upinzani wanapata wakati mgumu sana hawapati suport kwa raia hata waandishi nadhani wapo wanaotamani kusimamia ukweli lakini watanzania hawatakuwa na muitikio wa kutosha ili ilo jambo lihusishe mamia au maelfu ya watanzani ili lisibaki kuwa bomu linalomuangukia muandishi pekee na wengine wapate moyo wa kufichua maovu ambayo hatuyajui,hawawezi kuandika kwa sababu yakiwapata yanawaathiri wao binafsi zaidi
Kuna mtu anaitwa mTanzania, kimsingi ni kiumbe ambaye huwa simuamini. Najiamini Mimi tu.
 
Kuna sekta mbili zinazoongoza kwa woga Tanzania, ualimu na sekta ya habari.

Kwa sasa ukiongeza sheria mpya iliyosainiwa juzi waandishi wa habari wanaweza kuwapiku walimu kwa woga.
Watanzania wana nidhamu ya woga si kidogo.
 
Kuna sekta mbili zinazoongoza kwa woga Tanzania, ualimu na sekta ya habari.

Kwa sasa ukiongeza sheria mpya iliyosainiwa juzi waandishi wa habari wanaweza kuwapiku walimu kwa woga.
Kuwa na staha, Msitake kila mmoja awe kama unavyotaka.
 
Ni kawaida kwa Watu weupe kuwabrand vibaya waafrika wanaopenda maendeleo kwa nchi zao.

Imagine miaka ya 50 wanawake marekani hawakua wanapiga kura. Kwakua hakukua na media kama sasa si ajabu na sisi tungewaita wao wanyanyasaji wa haki za wanawake. Ni kweli kabisa kua marekani ni taifa ambalo halina heshima kwa wanawake lakini hutasikia wakilizungumzia hilo.

Waingereza walishawahi muona nyerere kama muasi...ajabu sana hii.

Wazungu hao hao...walisema Sadam Husein ana silaha na maangamizi, wakamuua- kumbe hakua nazo na baadae wakakiri wenyewe kua walikosea.

Wazungu hao hao walisema Qadafi ni Dikteta...wakamuondoa , angalia sasa Libya huru inavyopata tabu...

Wazungu hao hao wanatuambia kua Tanzania Demokrasia inafinywa...wanasahau Angela anatumikia mhula wa tatu sasa kama kansela.( si udikteta huu).

Unategemea kweli uamini lolote toka kwa watu wenye mienendo ya kusuasua kama hao?
Hebu tulia ujisaidie kwanza
 
Kwenye kuelekea mafanikio lazima punda aumie ili mzigo ufike...so nahapa tz ili kufika kwenye mafanikio lazima watu waumie laaa sivyo ni njogi tuu
Kuelekea mafanikio gani sasa wakati hata makusanyo ya kodi zetu hatuambiwi. Mtu ambaye alishindwa kuunganisha kwenda chuo kikuu moja kwa moja akapitia kwanza ualimu huwezi kusema kuwa yye ndio ana akili kuliko watanzania wote hivyo nchi iendeshwe kwa mawazo ya mtu mmoja. No way
 
Katika watu dunian ambao hata wakizungumza wanawana mashiko basi ni ujerumani maana wao mpaka leo bado ni wabakuzi wa rangi so kumbagua mtu kwa sababu ya rangi yake nadhani ndio kosa kubwa kuliko hayo wanayo yaona kwetu
NOTE
Waswahili wanasema kelele za mbu .............hahahha
 
Wakaandike kwanza ya Uganda na Rwanda, watuache na nchi yetu bado tunatumbua majipu.
1481899753504.jpg
 
Ndo maana mnasababisha mpaka wanataka kuifungia jamii forums,imekuwa ya uzushi uzushi na udaku udaku na Uongo mwingi,.jana balozi wa Denmark alikuwa ofisini kwa makamu wa raisi akidai wanawekeza karibu trillioni tatu kufungua kiwanda cha mbolea pwani,balozi wa Brazil alikuwa kwa mama Samia akiangalia namna ya kuboost upande wa anga maana Brazil wanatengeneza ndege,mwezi wa 10 PM Majaliwa alitembelea plant moja ya ushilikiano wa wa Dutch,China na Suma JKT ya kutengeneza Magari design ni Double Cabin nimesahau jina,wataanza kutengeneza Magari 20 kila mwezi,na wanaanza January na mengine mengi,nyie mpo bize kupotosha humu JF kwa chuki zenu binafsi tu.Eti namna Hii itachukua muda kuiamini TZ,ninachoona wengi humu hamtoki hata nje ya nchi,huko JPM ni gumzo sana,anafagiliwa sana,mnaleta habari zenu za Lema,Lissu UKUTA,kata funua,kwa wawekezaji wanataka mtu aliye straight kama Magufuli,na wanachukia 10% zilizokuwepo huko nyuma.Ila hata mfanyeje Raisi ni JPM na Yupo hadi 2025,.Katiba ni Hii,tume ni hii hii,CCM ni hii hii.Mengine kelele tu,mnapoteza muda tu.
Mkuu hii serikali ya CCM au!!??

Hahaaaa

Wewe utakuwa na umri wa miaka 16
Maana hizi nyimbo zilishaibwa muda mrefu sana,
Sasa nakwambia wewe kibaraka wa Fisiem,
Kiwanda kujengwa ni baada ya miaka mitatu
Kukamilika miaka ishirini,

Ni hii hii serikali ya ccm iliyokusema kwamba
Suala la umeme kwa kuwa sasa tutdharisha kwa kutumia gas
basi hakutakuwa na tatzo la umeme
Bahati nzuri wakaanza kufunga mitambo ya gas
Wakadai mwezi fulani itakamilika ilikamilika na bado tatzo liko pale pale
Juzi jamaa mmoja ikabidi aseme ukweli, tutakuwa na umeme wa uhakika
2030.
Haaaaa kama hujui sound zao kaa kimya kichwa maji wewe
 
Back
Top Bottom