Kwanza naanza kwa masikitiko kwani hadi sasa hajujapata kwa uhakika majina ya watu wenye fedha Uswisi. Hii inanikumbusha ushuja na ushupavu wa gazeti letu pendwa Mwanahalisi kabla halijahujumiwa na serikali, mambo haya ya mafisadi yangekuwa si kificho.
Wananchi tushikamane kuondoa serikali isiyopenda uhuru wa vyombo vya habari na badala yake inapenda mafisadi wasiumbuliwe. Wasiwasi wangu ni kuwa si muda mrefu kuanzia sasa utasikia kuna mtu mdogo kuhusiana fedha za Uswisi kapelekwa mahakamani ili kuzuia mjadala huo, kumbukeni janga la Ulimboka na chizi anayeshikiliwa na afande Kova.
Ombi kwa wana JF kama kuna mtu ana tetesi ya majina ayaweke hewani.
Wananchi tushikamane kuondoa serikali isiyopenda uhuru wa vyombo vya habari na badala yake inapenda mafisadi wasiumbuliwe. Wasiwasi wangu ni kuwa si muda mrefu kuanzia sasa utasikia kuna mtu mdogo kuhusiana fedha za Uswisi kapelekwa mahakamani ili kuzuia mjadala huo, kumbukeni janga la Ulimboka na chizi anayeshikiliwa na afande Kova.
Ombi kwa wana JF kama kuna mtu ana tetesi ya majina ayaweke hewani.