A cha tujipendekeze kwa mzalendo mwenzetu KagameWatu wanaojipendekeza kwa mabepari utawajua tu, Tanzania is a sovereignty country, we do decide to our own and no anyone else


A cha tujipendekeze kwa mzalendo mwenzetu KagameWatu wanaojipendekeza kwa mabepari utawajua tu, Tanzania is a sovereignty country, we do decide to our own and no anyone else
Hata wewe huwezi sikia maneno ya kijiweni juu ya familia yako ukaanza kukwazika na kupanic kuongea ongea ovyo eti kisa kijiwe fulani kimekusema utakua huna akili ukijibizan nao.sasa unataka Serikai ifanyie kazi maeno ya vijiweniMbona uzushi mwingine unafanyiwa kazi kwa kutolewa ufafanuzi. Tuhuma kama ni za kizushi zisipojibiwa watu watajua ni kweli, jambo ambalo si zuri.
Kila kitabu na zama zake. Unaongelea zaidi ya miaka 30 iliyopita tuko kwenye ulimwengu wa ki digital.Unawez gundua kwamba maelezo kama hayo yameandikwa na m-TZ. Anaandika hisia zake. Kama angekuwa ni mtu aliye analytical, lazima angeweka ushahidi badala ya hizi hisia. Hisia hizi kila mtu anazijenga lakini tukiulizana ni kwa vipi, kila mtu hajui undani. Utaona kila mtu analeta ufumbuzi wake. Familia inafikia kuleta ombi la vyombo vya nje kusaidia uchunguzi.
Ktk nchi hii yalishatokea makubwa na hisia nzito za wananchi kuliko hata hili la Lissu. Sokoine alipopata ajali, mitaani ilivuma kauwawa. Sikusikia familia yake ikileta ombi la aina hiyo na huyu alikuwa PM. Jarida hili liliwahi kuleta maelezo wakati wa uchaguzi, jinsi makundi ya Kenya yalivyokuwa yakileta misaada kwa wanasiasa wa TZ. Mbona hatukuona muelekeo huo?
Awamu hii ya tano inawapenda polisiccm kuliko vyombo vinginevyo vya dola hata IGP anafanya kazi kwa falsafa ya zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCMKila kitabu na zama zake. Unaongelea zaidi ya miaka 30 iliyopita tuko kwenye ulimwengu wa ki digital.
Wakati huu watu wameelimika zaidi na ukangalia pamoja na kuwa Sokoine alikuwa PM lakini je familia yake ilikuwa ina wazo lolote kuhusu wachunguzi wa kimataifa?
Wake wa Sokoine walikuwa wa mama wa nyumbani no education
Mke wa Lisu ni Lawyer
Familia ya Lisu karibu yote nimepata mwanga wa elimu.
Siku hizi dunia ni kisiwa kinachotokea muda huu Amerika Tanzania unakipata.
Mtukufu malaika toka chato yeye imani yake kubwa ni kwa polisiccm pekee yeye anawapenda polisiccm kuliko vyombo vyote.Kama hii tuhuma ya Rais kulindwa na Wanyarwanda ni ya kweli maana yake hana imani na jesh letu kwa sababu anazozijua yeye. Na kama hana imani nalo inakuaje azuie wapelelezi kutoka nje kuchunguza matukio ya vifo na mashambulio vya wapinzani kma yeye hta jesh letu haliamini?.
Lililopo sasa ni zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM pekee wengine mkipinga Jerry Muro, Lipumba, Le mutuz na Boss wao Bashite wanakaa kikao wanakujadili usiku Nissan nyeupe na gari zingine na pikipiki zinaanza kukufuatilia popote unapokwenda.Lisemwalo lipo na kama halipo.....................
Tafadhali sana Mmuache Rais wangu! Tangu Mwezi uliopita kesha waambia YEYE alisukumizwaaa tu! Sasa na yeye anatusukumizaaa! Ngoma Droo!
Ulichoandika ni Kiingereza au lugha gani? Tafuta English basic training, kama unakipenda Kiingereza.