Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,675
Kama hii tuhuma ya Rais kulindwa na Wanyarwanda ni ya kweli maana yake hana imani na jesh letu kwa sababu anazozijua yeye. Na kama hana imani nalo inakuaje azuie wapelelezi kutoka nje kuchunguza matukio ya vifo na mashambulio vya wapinzani kma yeye hta jesh letu haliamini?.