Ila Mama kama kazingua sana aisee... Em ngoja tusubiri..
Dah!!
 
Hoja ya Mleta Mada na hata maelezo yangu sio "CCM Bye bye" bali "Samia bye bye"!! Yaani anajidanganya muscles za akina Ndugai zitasababisha CCM kumpiga chini Samia!
SAMIA AMEKUWA KWENYE KAMATI KUU CCM TANGIA ENZI ZA RAIS MKAPA. ANAWAZIDI 95% CCM WA LEO KWA UZOEFU CHAMANI.
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Yeah sure.
We will miss you bibi Samia
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Wasiojulikana
 
Yaani ukitaka kuona uchanga wa mtu kwenye siasa za Tanzania basi msikilize anaongea nini kuhusu Samia na 2025!!

Guys, moja ya sababu ambazo ma-CCM huwa wanatupiga sana bao ni namna wanavyo-handle mambo yao!!!

Huku nje unaweza kuona huko CCM kuna mtimbwalanyiko kweli kweli lakini haya majamaa yakishakutana tu Chimwaga, yanakuwa kitu kimoja!!

Hizi simulizi za CCM kuparaganyika, CCM kufa kibudu zilienea sana wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CCM mwaka 2012!!!

Tena wakati ule kulikuwa na vigogo kweli kweli waliokuwa wanaonekana ndo wanaenda kuichinja CCM... hawa ni pamoja na Lowassa, Chenge, na Rostam Azizi!!

Kuna wengine wakafikia hadi kusema JK anapigwa chini uenyekiti... sie wengine tukawa tunacheka tu!!!

Pamoja na rabsha zote hizo, wafuatiliaji wa siasa watakumbuka kilitokea nini!!

The Main Villain Himself, Edward Ngoyai Lowassa wakaja kumchinja na kumzika kabisa 2015!!!

Hayo ndo ma-CCM!!

Hivi mwaka huu CCM si wanafanya Uchaguzi wake mkuu?!

Subirini basi kama hamajasikia Samia huyo huyo akichaguliwa tena uenyekiti kwa 100%!!
Acha UCHAWA,

Kama wanapatana na kuwa kitu kimmoja,kwanini mnaweka wakurungenzi na mapolisi kuwa wasimamizi wa uchaguzi!
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Ndugai vp tuliza ball!!
IMG_20220107_143809.jpg
 
Hoja ya Mleta Mada na hata maelezo yangu sio "CCM Bye bye" bali "Samia bye bye"!! Yaani anajidanganya muscles za akina Ndugai zitasababisha CCM kumpiga chini Samia!
Ndugai and the company wana - muscles za kumtunishia m/kiti ccm!!!? Kweli!!?
Mi najua kwa hakika, kwa katiba iliyopo labda samia afe (God have mercy) lakn vinginevyo, atakuwa rais hadi 2030.
 
Hapo kama nimekuelewa fulani hivi.
Uchaguzi wa 2025 utakuwa ni wa kukata na shoka. Si lelemama hata kidogo.
 
Amewatoa akina Waitara akawaacha manyangumi wanaoutaka urais, akina Kassim.

Hana uwezo wa kuwafanya kitu manyangumi.She is hopeless fool.

16391496450626.jpg
 
Unaumwa sio bure samia ndo kila kitu na hao unaowaona sijui kundi gani hawana cha kumfanya hii ndo Tz hata waende upinzani hawashindi hata asilimia 30 ya kura
 
Yaani ukitaka kuona uchanga wa mtu kwenye siasa za Tanzania basi msikilize anaongea nini kuhusu Samia na 2025!!

Guys, moja ya sababu ambazo ma-CCM huwa wanatupiga sana bao ni namna wanavyo-handle mambo yao!!!

Huku nje unaweza kuona huko CCM kuna mtimbwalanyiko kweli kweli lakini haya majamaa yakishakutana tu Chimwaga, yanakuwa kitu kimoja!!

Hizi simulizi za CCM kuparaganyika, CCM kufa kibudu zilienea sana wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CCM mwaka 2012!!!

Tena wakati ule kulikuwa na vigogo kweli kweli waliokuwa wanaonekana ndo wanaenda kuichinja CCM... hawa ni pamoja na Lowassa, Chenge, na Rostam Azizi!!

Kuna wengine wakafikia hadi kusema JK anapigwa chini uenyekiti... sie wengine tukawa tunacheka tu!!!

Pamoja na rabsha zote hizo, wafuatiliaji wa siasa watakumbuka kilitokea nini!!

The Main Villain Himself, Edward Ngoyai Lowassa wakaja kumchinja na kumzika kabisa 2015!!!

Hayo ndo ma-CCM!!

Hivi mwaka huu CCM si wanafanya Uchaguzi wake mkuu?!

Subirini basi kama hamajasikia Samia huyo huyo akichaguliwa tena uenyekiti kwa 100%!!
Una uhakika mwaka 2025 mazingira na mambo mengine yatakuwa sawasawa na mwaka 2015?
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Pole sana,hayo ni mawazo yako,2025 samia yupo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hivi uko Tanzania hii kweli wewe?mnaielewa hii nchi kweli na mifumo iliyopo rais wa nchi kabisa unamfananisha na balozi wa nyumba kumi
Unaweza ukakuta unajibishana na mpuuzi tu. Muache amalizie bando lake basi.
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Hapa unajifariji tuu,ila ukweli unajua nguvu ya SSH.
 
Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Unaota ndoto za mchana
 
Back
Top Bottom