CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Huelewi neno GUYS??"Guys" - ndo nini?
Huelewi neno GUYS??"Guys" - ndo nini?
SAMIA AMEKUWA KWENYE KAMATI KUU CCM TANGIA ENZI ZA RAIS MKAPA. ANAWAZIDI 95% CCM WA LEO KWA UZOEFU CHAMANI.Hoja ya Mleta Mada na hata maelezo yangu sio "CCM Bye bye" bali "Samia bye bye"!! Yaani anajidanganya muscles za akina Ndugai zitasababisha CCM kumpiga chini Samia!
Yeah sure.Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
WasiojulikanaWaswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Acha UCHAWA,Yaani ukitaka kuona uchanga wa mtu kwenye siasa za Tanzania basi msikilize anaongea nini kuhusu Samia na 2025!!
Guys, moja ya sababu ambazo ma-CCM huwa wanatupiga sana bao ni namna wanavyo-handle mambo yao!!!
Huku nje unaweza kuona huko CCM kuna mtimbwalanyiko kweli kweli lakini haya majamaa yakishakutana tu Chimwaga, yanakuwa kitu kimoja!!
Hizi simulizi za CCM kuparaganyika, CCM kufa kibudu zilienea sana wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CCM mwaka 2012!!!
Tena wakati ule kulikuwa na vigogo kweli kweli waliokuwa wanaonekana ndo wanaenda kuichinja CCM... hawa ni pamoja na Lowassa, Chenge, na Rostam Azizi!!
Kuna wengine wakafikia hadi kusema JK anapigwa chini uenyekiti... sie wengine tukawa tunacheka tu!!!
Pamoja na rabsha zote hizo, wafuatiliaji wa siasa watakumbuka kilitokea nini!!
The Main Villain Himself, Edward Ngoyai Lowassa wakaja kumchinja na kumzika kabisa 2015!!!
Hayo ndo ma-CCM!!
Hivi mwaka huu CCM si wanafanya Uchaguzi wake mkuu?!
Subirini basi kama hamajasikia Samia huyo huyo akichaguliwa tena uenyekiti kwa 100%!!
Ndugai vp tuliza ball!!Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Ndugai and the company wana - muscles za kumtunishia m/kiti ccm!!!? Kweli!!?Hoja ya Mleta Mada na hata maelezo yangu sio "CCM Bye bye" bali "Samia bye bye"!! Yaani anajidanganya muscles za akina Ndugai zitasababisha CCM kumpiga chini Samia!
Una uhakika mwaka 2025 mazingira na mambo mengine yatakuwa sawasawa na mwaka 2015?Yaani ukitaka kuona uchanga wa mtu kwenye siasa za Tanzania basi msikilize anaongea nini kuhusu Samia na 2025!!
Guys, moja ya sababu ambazo ma-CCM huwa wanatupiga sana bao ni namna wanavyo-handle mambo yao!!!
Huku nje unaweza kuona huko CCM kuna mtimbwalanyiko kweli kweli lakini haya majamaa yakishakutana tu Chimwaga, yanakuwa kitu kimoja!!
Hizi simulizi za CCM kuparaganyika, CCM kufa kibudu zilienea sana wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa CCM mwaka 2012!!!
Tena wakati ule kulikuwa na vigogo kweli kweli waliokuwa wanaonekana ndo wanaenda kuichinja CCM... hawa ni pamoja na Lowassa, Chenge, na Rostam Azizi!!
Kuna wengine wakafikia hadi kusema JK anapigwa chini uenyekiti... sie wengine tukawa tunacheka tu!!!
Pamoja na rabsha zote hizo, wafuatiliaji wa siasa watakumbuka kilitokea nini!!
The Main Villain Himself, Edward Ngoyai Lowassa wakaja kumchinja na kumzika kabisa 2015!!!
Hayo ndo ma-CCM!!
Hivi mwaka huu CCM si wanafanya Uchaguzi wake mkuu?!
Subirini basi kama hamajasikia Samia huyo huyo akichaguliwa tena uenyekiti kwa 100%!!
Pole sana,hayo ni mawazo yako,2025 samia yupoWaswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Unaweza ukakuta unajibishana na mpuuzi tu. Muache amalizie bando lake basi.Hivi uko Tanzania hii kweli wewe?mnaielewa hii nchi kweli na mifumo iliyopo rais wa nchi kabisa unamfananisha na balozi wa nyumba kumi
Hapa unajifariji tuu,ila ukweli unajua nguvu ya SSH.Waswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.
Ndiyo maana halisi ya kitu kimoja wewe weweseka tu!Acha UCHAWA,
Kama wanapatana na kuwa kitu kimmoja,kwanini mnaweka wakurungenzi na mapolisi kuwa wasimamizi wa uchaguzi!
Unaota ndoto za mchanaWaswahili wanasema ukiishi nyumba ya vioo usitake ugomvi wa mawe. Kwa kua umetangaza waziwazi na mapema vita na unaowatuhumu kutaka uraisi 2025 sasa kaa mguu sawa. Wenzio hua wanapigana kimya kimya sasa wewe ugomvi wa chumbani umeuleta sebuleni. Jiandae kupigwa vita nje nje na waziwazi kama ulivyoanza mwenyewe. Hili goma umelipiga mapema mnoooo.