Habari wakuu!
Gazeti la Uhuru la Leo linaripoti kuwa mahakama ya mafisadi imekosa kesi za kusikiliza
Swali langu ni kwamba, je, mafisadi ndani ya CCM au nchini wameisha hadi mahakama hii iliyoanzishwa kwa mbwembwe ikose kesi za kusikiliza?
Naihurumia nchi yanguTanzania
Chanzo: Gazeti la uhuru
Gazeti la Uhuru la Leo linaripoti kuwa mahakama ya mafisadi imekosa kesi za kusikiliza
Swali langu ni kwamba, je, mafisadi ndani ya CCM au nchini wameisha hadi mahakama hii iliyoanzishwa kwa mbwembwe ikose kesi za kusikiliza?
Naihurumia nchi yanguTanzania
Chanzo: Gazeti la uhuru