bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,550
Huenda ni mafisadi waliopo ndani ya chama (CCM), nje ya chama hawawezi kosekana maana wengine tunawajua kabisa, mfano Fisadi mkuu Lowasa
Safari ya kuhamia makao makuu Dodoma bado tu?
Huenda ni mafisadi waliopo ndani ya chama (CCM), nje ya chama hawawezi kosekana maana wengine tunawajua kabisa, mfano Fisadi mkuu Lowasa
Si kila siku watumishi wa serikali wanatumbuliwa kwa ufisadi? Kwanini basi hiyo mahaka ikose watuhumiwa? Hiyo mahakama ilikuwa danganya toto kwa wananchi mandondocha.Sikh zote chama la mafisadi linajulikana! rejea escrow na lugumi. hivyo kusema umekosa fisadi ndani ya ccm ni kituko cha karne.
Rais msataafu na mwenyekiti msitaafu enzi za uongozi wake aliwahi kusema, ccm imejaa mafisi alikuwa na maana kubwa sana. poor you lumumba
Kuanzisha mahakama kwa ajili ya mtu mmoja ni jambo la kushangaza....Huenda ni mafisadi waliopo ndani ya chama (CCM), nje ya chama hawawezi kosekana maana wengine tunawajua kabisa, mfano Fisadi mkuu Lowasa
are you sure na unachokiongea? umeitoa wapi/umemnukuu nani hiyo scope of work ya mahakama kwamba haitashughulika na ufisadi uliofanyika kabla ya kuanzishwa mahakama? huu mchezo hautaki hasiraThe philosophy behind that post ni kuwa serikali ya awamu ya tano imedhibiti ufisadi ( gazeti linamsifu kwa kufanya kazi nzuri na sasa hakumna mafisadi) mpaka mahakama imekosa kesi. Sidhani kama ameandika akimaanisha kuwa it was a wastage of time and money kuanzisha mahakama hiyo, never!
Yeye mwenyewe malaika wa shetani hawezi kupona hapo.Ndio maana hamgusi E .L.yaweza kaburi lake mwenye lifukuliwe.wewe Kiwavii..
Malaika wenu aliwapumbaza na hii mahakama yakufikirika..
Mwambienii amkamate huyo mnae muita Fisadi ndio muone kama Atapona Ngombe ata mmja hapo Lumumbashii..
The philosophy behind that post ni kuwa serikali ya awamu ya tano imedhibiti ufisadi ( gazeti linamsifu kwa kufanya kazi nzuri na sasa hakumna mafisadi) mpaka mahakama imekosa kesi. Sidhani kama ameandika akimaanisha kuwa it was a wastage of time and money kuanzisha mahakama hiyo, never!
Huenda ni mafisadi waliopo ndani ya chama (CCM), nje ya chama hawawezi kosekana maana wengine tunawajua kabisa, mfano Fisadi mkuu Lowasa
Kwani hiyo mahakama inashughulikia mafisadi walio ndani ya CCM peke yake? Kama Lowasa ni fisadi kwanini asipelekwe huko Pamoja na mafisadi wengine walio nje ya chama chetu tawala?Huenda ni mafisadi waliopo ndani ya chama (CCM), nje ya chama hawawezi kosekana maana wengine tunawajua kabisa, mfano Fisadi mkuu Lowasa
nilivyosikia hii habari redioni asubuhi leo, nimefreeze ghafla, masifa yoote yakr ooh inajengwa na pesa zimetolewa leo wanasema hakuna kesi, daah hii kweli tanzania
Ianze na mafisadi na ufisadi wa
Chenge
mv Dar es salam
meli ya wachina
lugumi
escrow
Tanesco
Simba Trust
ni ndoto za alinacha, atamaliza miaka mi5 hapo hapo dar, dodoma aje kusalimia tuSafari ya kuhamia makao makuu Dodoma bado tu?
Naikumbuka ile kauli ya hayati masaburi( rest in peace) ,,,,,Lugumi,escrow,meremeta,epa hayo yote ni Lowasa???? Au unajskia tu kumtajataja mwanaume mwenzio??Huenda ni mafisadi waliopo ndani ya chama (CCM), nje ya chama hawawezi kosekana maana wengine tunawajua kabisa, mfano Fisadi mkuu Lowasa
Kwa upande mwingine hii ni dalili nzuri, watu wamenyooka wanatekeleza majukumu yao kwa ufanisi na uongozi bora.
-Wananchi tunafurahi kusikia hakuna mafisadi mali zetu haziibiwi tena.