TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Aisee kumbe kweli kaandika Tom Odula!Hio si kaandika Mkenya.
Aisee kumbe kweli kaandika Tom Odula!Hio si kaandika Mkenya.
Hao wawarudishie hela zao za lobyying kwa waliowatuma! Lazima wizara yetu ya afya ijiridhishe naakila jambo lakitabibu kabla jambo hilo halijawafikia wananchi!Sehemu gani amefariki?
Hivi ukipiga cannabis sativa uwezo wa kuweka akiba ya maneno utautoa wapi?Huyu jamaa atatuponza kama taifa amewatukana sana hao jamaa, awe anaweka akiba ya maneno au lasivyo watatushughulikia ipasavyo muda si mrefu.
mala paap, haupo... au hata mimi...kisa? mapafu yalibana ghafla...Magufuli kawa Rais wa dunia, akipiga chafya tu dunia mzima inaanza kujadili kauli yake, Africa/Tanzania tulitaji marais kumi wenye msimamo usiyoyumbishwa na wazungu kama Magufuli, corona ya mala ya kwanza aliwambia hivi kila mtu akambeza mwisho wa siku akaibuka kidedea, sasahivi kila taifa limechukua njia yake ya kujilinda na corona,akuna anayefungia ndani tena, Ninajua nahii ya mala ya pili lazima aibuke mshindi.Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki Rai Magufuli.
Wanajadili pumba zake....kwa Dunia ya Sasa Rais kutoa kauli kama Mzee wa kijiweni Nia ajabu. Hayuko informed na updated kabisa.
Ilifaa aongoze miaka ya sitini..
Yeye anadai nchi hii Ni tajiri Sana. Jinga kabisa
Nao ni wajinga, wamshughulikie, kwani wanashindwa?Huyu jamaa atatuponza kama taifa amewatukana sana hao jamaa, awe anaweka akiba ya maneno au lasivyo watatushughulikia ipasavyo muda si mrefu.
eti yeye ndiye anaijua! hata akiwa kichaa tumwache /tukubali anajua kila kitu kwa vile ni rais? Poor thinking!Rais kwa hiyo anaijua vyema nchi yake anayoitumikia.
Mbona unaleta mada mpya,ya Lissu yanahusiana vipi na habari ya Magu na Corona? Kama vipi omba talaka kwa mumeo uolewe na Lissu.Kumbe haya magazeti hayaandiki tena ziara za Lisu Ulaya?
Sasa wako bize kuandika habari za mtukufu Magufuli
Matajiri....!Masikini!!!
Ili ujitambulishe kwa mzungu na upokewe vizuri lazima nchi yako iwe ina ramba matakle yao, sasa tz kwa sasa kiongozi wetu kakata kuwaramba.Nikiwa nchi za wenzetu siku hizi mwenzenu huwaga sijitambulishagi kama Mtanzania. Ni aibu!!
Hama kabisa nchiNikiwa nchi za wenzetu siku hizi mwenzenu huwaga sijitambulishagi kama Mtanzania. Ni aibu!!