Jamani Watanzania tuache ujuha! Economist watasema nini zuri kwa Magufuli wakati Acacia ndio wanafungasha? Watu mnakazana kukariri propaganda za Waingereza wakati wao wenyewe wanajadili madili ya gesi Hyatt! Pascal Mayalla unaitwa huku.
Wazungu wanamuona JPM ni kikwazo kwa mipango yao ya kipumbavu. Hivyo watasema mengi ili kumchafua. Tutamkumbuka JPM wakati akitoka madarakani, sasa Watanzania waliojazwa fikra za wazungu waache washabikie maneno wa mabwana zao