Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?

View attachment 2302965View attachment 2302966View attachment 2302967View attachment 2302968
Hizi makala huwa haziibuki tu, hii ni propaganda yenye lengo maalum. Hii nchi kuna ujinga tunaulea, kuna mambo tukiruhusu siasa zetu chafu ziingilie tutavuna mabua.
 
Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?

View attachment 2302965View attachment 2302966View attachment 2302967View attachment 2302968

Hii makala iko kimkakati kabisa baadae mtakuja kusema kuwa serikali haina hela hahaha mwananchi wanalipwa kuandika makala kama hii na wanalipwa na wenye jukumu la kusimamia mradi huuu
hahahaha
 
Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?

View attachment 2302965View attachment 2302966View attachment 2302967View attachment 2302968
Kila mradi unakuwaga na sunk cost , naona nikikufafanulia zaidi hutakuwa tayari kuelewa kwa sababu uko unaandika ukiwa na upande tayari na unaongea na kivuli pembeni
 
Binafsi niliona halikuwa wazo zuri kwa kuangalia utilization ya reli ya zamani ilikuwa asilimia ngapi? binafsi niliamini tulipaswa kuhakikisha kwanza reli ya zamani ni productive na utilization yake ni maximum na tumeelemewa ndio twende kwenye option B.

Kama tulijenga tu kwa fassion kwa sababu duniani zinajengwa bila technical calculation ni kuchezea tu hela za walipa kodi, watu wetu wanapaswa kuwa na fikra za kazi zaidi.
 
Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?👇

View attachment 2302965View attachment 2302966View attachment 2302967View attachment 2302968
Jinga Sana, 🚮 SGR ni mpango wa mda mrefu wa mkapa na sio Magufuli. Yy alikuna kutekeleza,alafu usiwe na chuki ya kike,hata unamchukia Magufuli sio hivyo aisee! Umesahau Kikwete alisaini huu mradi na Wachina watujengee Reli kama Ile ya Kenya iliyojaa ufisadi,na inayotumia diesel, Magufuli akaja kuokoa jahazi,Leo hii mnamsingizia mwenda zake? Laana hii.
 
tusicopy sana modern style of life bila kuangalia stage tuliyopo na nini tunataka wakati huu. Binafsi naamini kwenye uwekezaji wa reli ya zamani iwe productive kwanza maana utilization yake ilikuwa minimum almost zero kwangu, ukiwauliza hawa viongozi watu kwa % ngapi reli ya zamani toka tumeichukua kwa mkoloni imechangia pato letu basi utakutana na vichekecho.

Rail network ya zamani ilipaswa kuwa maintained na kuweka network za kutosha kila mahala linking na major productive cities mpaka kwenye ports zetu, boosting economic activities ambazo zitatumia reli kama kilimo, mining activities kama Coal, graphites nk.

Hatufanyi proper Calculations based on data collection kwenye maamuzi yetu. Kila maamuzi yanapaswa kubase kwenye research na data then watu ndio waamue sio matakwa tu ya mtu akilala na kuamka anaamua.
 
Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?👇

View attachment 2302965View attachment 2302966View attachment 2302967View attachment 2302968
Ninakumbuka ujenzi wa SGR ulipitishwa na kikao cha EAC ndiyo sababu Tanzania na Kenya zilianza pamoja kujenga.
 
Back
Top Bottom