G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Gazeti la Tanzanite linetoa tuhuma nzito likimuhusisha Charles Kimei aliyekuwa CEO wa CRDB Bank kuwa fedha zake zaidi ya bilioni 150 za kitanzania zimenaswa.
Aidha limedai kuwa fedha hizo ni za kumng'oa Rais magufuli mwaka 2020. Tunahitaji kujua kwanini gazeti hili linaachwa lichafue wale wa upande mwingine? Ndiyo aina ya kile kinachotakiwa? Nani anaongoza kikosi hiki cha uchafuzi? Kwanini gazeti hili na mhariri wake hawajawahi kuchukuliwa hatua? Ndiyo uzalendo tunaohubiri?
Mimi naona wale mapadre wanaomualika Rais madhabahuni sasa wajitafakari! Wawaze ni aina gani ya kiongozi tuliye naye!
Ni hayo tu.
Aidha limedai kuwa fedha hizo ni za kumng'oa Rais magufuli mwaka 2020. Tunahitaji kujua kwanini gazeti hili linaachwa lichafue wale wa upande mwingine? Ndiyo aina ya kile kinachotakiwa? Nani anaongoza kikosi hiki cha uchafuzi? Kwanini gazeti hili na mhariri wake hawajawahi kuchukuliwa hatua? Ndiyo uzalendo tunaohubiri?
Mimi naona wale mapadre wanaomualika Rais madhabahuni sasa wajitafakari! Wawaze ni aina gani ya kiongozi tuliye naye!
Ni hayo tu.