Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,641
- 218,091
Hii ndio Taarifa mpya iliyotufikia kutoka kwa viongozi wa Gazeti hilo linalopendwa sana nchini Tanzania , kwamba siku yoyote kuanzia sasa Gazeti Kabambe la Tanzania litakuwa hewani .
Tanzania Daima pamoja na Magazeti mengine kama MwanaHalisi na Mawio , yaliyokataa kulamba miguu ya serikali ya Kidikteta ya awamu ya Tano , yalifungiwa kinyama huku baadhi ya Wahariri wake Wakishughulikiwa kikatili , baada ya Utawala wa awamu hiyo kuondolewa na Mungu , hatimaye magazeti mengi yaliyofungiwa yalirejeshewa leseni zao na Serikali ya Awamu ya 6 KWA MSAADA WA WAZUNGU .
Endelea kutufuatilia ili kufahamu siku ambayo nakala ya kwanza ya Gazeti hilo itasambazwa .
Tanzania Daima pamoja na Magazeti mengine kama MwanaHalisi na Mawio , yaliyokataa kulamba miguu ya serikali ya Kidikteta ya awamu ya Tano , yalifungiwa kinyama huku baadhi ya Wahariri wake Wakishughulikiwa kikatili , baada ya Utawala wa awamu hiyo kuondolewa na Mungu , hatimaye magazeti mengi yaliyofungiwa yalirejeshewa leseni zao na Serikali ya Awamu ya 6 KWA MSAADA WA WAZUNGU .
Endelea kutufuatilia ili kufahamu siku ambayo nakala ya kwanza ya Gazeti hilo itasambazwa .