Gazeti la raia mwema/raia tanzania chuki ya nini juu ya mnyika? Mnanufaikaje na habari hizo?

Mufti naomba uitumie vizuri sherehe ya Leo sio kwamba hatupo tuliosoma tupo tena wenyeweredi na uzalendo
 
Labda umesahau, ni haya magazeti Ndiyo yalianza kufichua mpango wa EL kuhamia CDM na kuwa kuna mazungumzo ya kupewa ugombea wa Urais Kama sharti mojawapo... Mkaja hapa na story zenu za kukanusha mwisho mkaumbuka... Yakawa mstari wa mbele kuhusu ukimya wa Slaa na kwamba ameachia ukatibu mkuu.. Mkaja hapa na story kuwa anapimzika..Mkakakuumbuka.... Sasa hili la Mnyika Kama la Slaa ... Mnatoa povu hapa na kulishambulia gazeti wakati muhusika Mnyika yuko kimya.... Mtaumbuka tena muda siyo mrefu.... Kimya kingi kina mshindo mkuu.
Acha uongo kama wa hayo magazeti bhana! Ukweli ni kwamba baada ya mpango wa Dk Slaa kumtumia Lowassa kuwa rais kukwama, Dk Slaa alianza kushirikiana na hayo magazeti kutengeneza stori ambazo zilikuwa mahususi kuharibu image ya Ukawa. Ni Dk Slaa alianza kuvujisha taarifa tofauti kwa magazeti hayo; yaani alikuwa akizungumza ndani ya Ukawa hivi, akizungumza na magazeti hayo anazungumza kitu tofauti. Ilikuwa ni ajenda ambayo ilikuwa imeratibiwa kwa ujanja mkubwa.
Back to Mnyika. Kwanza labda mleta post hii hapa juu unafahamu kinachoendelea baina ya Mnyika na hayo magazeti. Inashangaza kuona Raia Tanzania jana waliandika habari ya kipuuzi kabisa kumhusu Mnyika, ni vizuri gazeti la Jambo Leo liliwarudisha chuoni wahariri wa Raia Tanzania kwa namna lilivyoripoti habari hiyo hiyo.
Ukifuatilia hasa gazeti la Raia Tanzania namna linavyoripoti habari zinazogusa maslahi ya Chadema, unaweza kuwa na maswali mengi kidogo. Nafahamu yako magazeti ambayo hayajiwezi kiuchumi hutumika kufanya propaganda za kitoto dhidi ya upinzani. Hufanya hivyo ili yaweze kusaidiwa kuwa barabarani, lakini huku sokoni yakiendelea kufanya vibaya mno. Napata shida kuamini kama Raia Tanzania nalo limeingia katika orodha ya magazeti hayo ambayo yanaongozwa na Tazama, lakini mmoja wa wahariri wa Raia Tanzania inafahamika kuwa alijaribu kujifungamanisha na Zitto ili kuharibu image ya Chadema wakati fulani. Ni muhimu bodi ya uhariri ya Raia Mwema Ltd ikamumulika vizuri mhariri huyo kwani kama taifa tunahitaji habari za maana zenye kutusaidia kwenda mbele badala ya zile za kuungaunga mfano wa hiyo ya jana kuhusu Mnyika.
kukubaliana na ruhusu ujio wa
 
Kwangu Mimi Raia Tanzania ni Gazeti makini kwa watu making, wenye mihemko(hypes) hawawezi kulielewa nakumbuka wakati Wa songombingo za uchaguzi mkuu Gazeti la kwanza kuandika Dr slaa kuondoka chadema lilikuwa Raia Tanzania , viongozi Wa chadema wakaja juu lakini mwisho Wa siku tulimjua nani muongo, na hata hii issue ya mnyika naamini muda utasema tu, halafu mbona yeye hajakanusha na nyie vimbelembele ndo mnakanusha, mtakuja kuendelea kuonekana waongo, wazee Wa gia za angani
 
Acha uongo kama wa hayo magazeti bhana! Ukweli ni kwamba baada ya mpango wa Dk Slaa kumtumia Lowassa kuwa rais kukwama, Dk Slaa alianza kushirikiana na hayo magazeti kutengeneza stori ambazo zilikuwa mahususi kuharibu image ya Ukawa. Ni Dk Slaa alianza kuvujisha taarifa tofauti kwa magazeti hayo; yaani alikuwa akizungumza ndani ya Ukawa hivi, akizungumza na magazeti hayo anazungumza kitu tofauti. Ilikuwa ni ajenda ambayo ilikuwa imeratibiwa kwa ujanja mkubwa.
Back to Mnyika. Kwanza labda mleta post hii hapa juu unafahamu kinachoendelea baina ya Mnyika na hayo magazeti. Inashangaza kuona Raia Tanzania jana waliandika habari ya kipuuzi kabisa kumhusu Mnyika, ni vizuri gazeti la Jambo Leo liliwarudisha chuoni wahariri wa Raia Tanzania kwa namna lilivyoripoti habari hiyo hiyo.
Ukifuatilia hasa gazeti la Raia Tanzania namna linavyoripoti habari zinazogusa maslahi ya Chadema, unaweza kuwa na maswali mengi kidogo. Nafahamu yako magazeti ambayo hayajiwezi kiuchumi hutumika kufanya propaganda za kitoto dhidi ya upinzani. Hufanya hivyo ili yaweze kusaidiwa kuwa barabarani, lakini huku sokoni yakiendelea kufanya vibaya mno. Napata shida kuamini kama Raia Tanzania nalo limeingia katika orodha ya magazeti hayo ambayo yanaongozwa na Tazama, lakini mmoja wa wahariri wa Raia Tanzania inafahamika kuwa alijaribu kujifungamanisha na Zitto ili kuharibu image ya Chadema wakati fulani. Ni muhimu bodi ya uhariri ya Raia Mwema Ltd ikamumulika vizuri mhariri huyo kwani kama taifa tunahitaji habari za maana zenye kutusaidia kwenda mbele badala ya zile za kuungaunga mfano wa hiyo ya jana kuhusu Mnyika.
kukubaliana na ruhusu ujio wa

Nafikiri hujui unachokisema... "Mpango wa Dr Slaa kumtumia Lowasa kuwa Rais kukwama" ... Unamaanisha nini ? Ulikwamaje wakati Ndiyo aligombea? Kwani Slaa kaondoka baada ya uchaguzi au kabla? Unakumbuka Mwenyekiti Mbowe alichokua anasema? Unakumbuka vikao vya usiku?! Kama hujui jambo usijitie kuelezea utajiunbua bure tu. Deal ya EL ILIKUWA ya Mwenekiti na Maalim Seif ..... Slaa aliigomea tangu mwanzo...
 
Magazeti haya yaliyokaa kiudaku udaku na habari zake za kusadikika, yamekua yakimwandama sana Naibu katibu mkuu bara na Mbunge wa Chadema jimbo la Kibamba Mh Mnyika, sitaki kuamini kazi ya magazeti haya yamekua yakifanya propaganda chafu yakidhani yananufaika na habari hizo.


Hii ni kama chuki binafsi na wivu wa kipuuzi usiokua na maana kwa mtu ambaye taifa linamjua kwa uchapa kazi usiotia shaka. Magazeti haya yaliyojigeuza kua udaku kupambana na Mnyika ni sawa kupoteza muda tu.


Waandishi uchwara wamekaa vyumbani wamejifungia kufanya biashara ya kuchapa habari zisizokua na vyanzo vya kuaminika nao tutawaita ni wa hovyo tu.Ndio maana yule Msemaji wa JWTZ alisema watu wa aina hii ni wanataliwa kuadabishwa.
Nyani haoni Kundule !! Na bado maana wakati Mpenda Sifa Kubenea anamsema kwa mabaya ya kumsingizia Makonda kwenye Vijigazeti vyake Mlinyamaza kimyaaa, leo Upepo umegeuka ,
Poyeeee
 
Nafikiri hujui unachokisema... "Mpango wa Dr Slaa kumtumia Lowasa kuwa Rais kukwama" ... Unamaanisha nini ? Ulikwamaje wakati Ndiyo aligombea? Kwani Slaa kaondoka baada ya uchaguzi au kabla? Unakumbuka Mwenyekiti Mbowe alichokua anasema? Unakumbuka vikao vya usiku?! Kama hujui jambo usijitie kuelezea utajiunbua bure tu. Deal ya EL ILIKUWA ya Mwenekiti na Maalim Seif ..... Slaa aliigomea tangu mwanzo...
Huelewi nilichokiandika! Hujui kama Dk Slaa aliridhia ujio wa Lowassa Chadema kwa kuwa alijua atamnufaisha katika nia yake ya kuwania urais? Naona wewe ndio hata hujui yaliyokuwa yakiendelea, ulitegemea kulishwa uongo na hilo gazeti pamoja na uongo mwingine wa Dk Slaa kupitia ile press conference!
 
Magazeti haya yaliyokaa kiudaku udaku na habari zake za kusadikika, yamekua yakimwandama sana Naibu katibu mkuu bara na Mbunge wa Chadema jimbo la Kibamba Mh Mnyika, sitaki kuamini kazi ya magazeti haya yamekua yakifanya propaganda chafu yakidhani yananufaika na habari hizo.


Hii ni kama chuki binafsi na wivu wa kipuuzi usiokua na maana kwa mtu ambaye taifa linamjua kwa uchapa kazi usiotia shaka. Magazeti haya yaliyojigeuza kua udaku kupambana na Mnyika ni sawa kupoteza muda tu.


Waandishi uchwara wamekaa vyumbani wamejifungia kufanya biashara ya kuchapa habari zisizokua na vyanzo vya kuaminika nao tutawaita ni wa hovyo tu.Ndio maana yule Msemaji wa JWTZ alisema watu wa aina hii ni wanataliwa kuadabishwa.
NIMELISOMA JANA MWANDISHI AMEANDIKA KIUDAKU
 
Hili gazeti ukiwa na issue na mti nenda kapeleke umbea wako wanauandika. Pesa wanayo pata kwa umbea ni nyingi kuliko pesa ya mauzo ya gazeti lenyewe.
 
Huelewi nilichokiandika! Hujui kama Dk Slaa aliridhia ujio wa Lowassa Chadema kwa kuwa alijua atamnufaisha katika nia yake ya kuwania urais? Naona wewe ndio hata hujui yaliyokuwa yakiendelea, ulitegemea kulishwa uongo na hilo gazeti pamoja na uongo mwingine wa Dk Slaa kupitia ile press conference!

Gazeti lilikuwa la kwanza kufichua mpango wa EL kuhamia CDM ikakanushwa .... Ndani ya siku chache tukaona familia Ina kabidhiwa kadi... Likafichua Njama za kumpindua Slaa katika kuwania Ugombea na kumweka EL , mkakanushaaaaa, Ghafla mkutano mkuu maalum ........., Slaa "akapotea" kwenye majukwaa ya siasa likasema Slaa amejiuzulu .... Mkaja na story nyingiiiiii pamoja na kuwa Slaa anapumzika..... Ukweli ikajitokeza... Hivi hapo aliyekuwa anasema uongo ni gazeti au nyie mliyokua mnatoa maelezo tofauti na yaliyotokea? Unalilaumu Gazeti Kwa mambo ya Kweli...! Mbona hamjawahi kulishtaki? ACHENI kupotosha. Elezeni ukweli kinachoendelea ndani ya chama chenu siyo kupiga porojo tu na kulialia kwenye mitandao .
 
Magazeti haya yaliyokaa kiudaku udaku na habari zake za kusadikika, yamekua yakimwandama sana Naibu katibu mkuu bara na Mbunge wa Chadema jimbo la Kibamba Mh Mnyika, sitaki kuamini kazi ya magazeti haya yamekua yakifanya propaganda chafu yakidhani yananufaika na habari hizo.


Hii ni kama chuki binafsi na wivu wa kipuuzi usiokua na maana kwa mtu ambaye taifa linamjua kwa uchapa kazi usiotia shaka. Magazeti haya yaliyojigeuza kua udaku kupambana na Mnyika ni sawa kupoteza muda tu.


Waandishi uchwara wamekaa vyumbani wamejifungia kufanya biashara ya kuchapa habari zisizokua na vyanzo vya kuaminika nao tutawaita ni wa hovyo tu.Ndio maana yule Msemaji wa JWTZ alisema watu wa aina hii ni wanataliwa kuadabishwa.
Nae asikae kimya atoke aje ajibu hizo hoja that's all
 
kwani kuna shida gani kwa mnyika kujitokeza hadharani na kujisemea yeye mwenyewe?,wakati mwingine sio lazima kutumia nguvu kubwa kwa jambo dogo kama hilo.hu uzi ulifaa kuletwa hapa baada ya myika kujitokeza hadharani na kuyatolea ufafanuzi haya mambo.kama yeye haoni umuhimu wa hili kwann wengine tupate shida kumsemea?
 
Gazeti lilikuwa la kwanza kufichua mpango wa EL kuhamia CDM ikakanushwa .... Ndani ya siku chache tukaona familia Ina kabidhiwa kadi... Likafichua Njama za kumpindua Slaa katika kuwania Ugombea na kumweka EL , mkakanushaaaaa, Ghafla mkutano mkuu maalum ........., Slaa "akapotea" kwenye majukwaa ya siasa likasema Slaa amejiuzulu .... Mkaja na story nyingiiiiii pamoja na kuwa Slaa anapumzika..... Ukweli ikajitokeza... Hivi hapo aliyekuwa anasema uongo ni gazeti au nyie mliyokua mnatoa maelezo tofauti na yaliyotokea? Unalilaumu Gazeti Kwa mambo ya Kweli...! Mbona hamjawahi kulishtaki? ACHENI kupotosha. Elezeni ukweli kinachoendelea ndani ya chama chenu siyo kupiga porojo tu na kulialia kwenye mitandao .
Tatizo lako husimami katika hoja ya msingi. Kwahiyo katika akili yako ya kawaida ulitaka CDM, wakati huo, wakiri kwamba ni kweli EL ana mpango wa kujiunga na CDM/Ukawa? Na kwa akili yako hiyo hiyo unafikiri habari/tetesi za EL kujiunga na CDM/Ukawa zilikuwa za "siri mno"?

Nimekueleza hivi: Baada ya Dk Slaa kubaini kwamba ujio wa EL umezuia safari yake ya kuitafuta Ikulu kupitia Ukawa ndipo alipoanza kushirikiana na hilo gazeti kwa kulipatia habari ambazo zilimhusu yeye, Chadema/Ukawa na ujio wa Lowassa katika namna ambayo ililenga kuchafua image ya Chadema na Ukawa. Kwamba gazeti hilo liliandika tetesi za kwamba Lowassa atajiunga na Chadema/Ukawa na ikawa kweli haiwezi kutumika kama utetezi linapoandika habari ambazo siyo habari. Mfano, ni wa hiyo 'habari' iliyoanzisha mjadala huu kuhusu Mnyika kwamba anataka Lowasa akamatwe!
 
Tatizo lako husimami katika hoja ya msingi. Kwahiyo katika akili yako ya kawaida ulitaka CDM, wakati huo, wakiri kwamba ni kweli EL ana mpango wa kujiunga na CDM/Ukawa? Na kwa akili yako hiyo hiyo unafikiri habari/tetesi za EL kujiunga na CDM/Ukawa zilikuwa za "siri mno"?

Nimekueleza hivi: Baada ya Dk Slaa kubaini kwamba ujio wa EL umezuia safari yake ya kuitafuta Ikulu kupitia Ukawa ndipo alipoanza kushirikiana na hilo gazeti kwa kulipatia habari ambazo zilimhusu yeye, Chadema/Ukawa na ujio wa Lowassa katika namna ambayo ililenga kuchafua image ya Chadema na Ukawa. Kwamba gazeti hilo liliandika tetesi za kwamba Lowassa atajiunga na Chadema/Ukawa na ikawa kweli haiwezi kutumika kama utetezi linapoandika habari ambazo siyo habari. Mfano, ni wa hiyo 'habari' iliyoanzisha mjadala huu kuhusu Mnyika kwamba anataka Lowasa akamatwe!

Kama hazikuwa za siri mbona mbowe alikanusha ujio wa edo cdm.
Na kuna watu humu waliahidi hadi kutoa TIGO ,endapo EL angekuja CDM leo hii wew ni miongoni mwao ,hamjui hata chama kinaenda wapi nyie mpo mpo tu ,mnakula matapishi yenu
 
Back
Top Bottom