Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,149
12,818
cover_241221822_845647409479940_3222168843962758042_n.jpg

Msemaji wa Serikalini Gerson Msigwa, amelifungia Gazeti la Raia Mwema kwa siku 30

gersonmsigwa_1630849728884795.jpg
gersonmsigwa_1630849728884644.jpg


Pia soma: Utetezi wa Gazeti la Raia Mwema kabla ya kufungiwa
 
Kwani ukivaa nguo za ccm zile njano na kijani na kofia unakuwa ni mwanachama wa chadema?

Je vipi lingeripoti kwamba ni mwanachama wa chadema wangelifungia?
Nilitege.ea ccm ndio wangeanza kukanusha ila hii serikali ni ya kihuni Sana nayo.

Sheria za hii Nchi Kama zisipobadilishwa hata aje malaika gani ni upumbavu tu utaendelea.

We need constitutional reform.
 
Kwani ukivaa nguo za ccm zile njano na kijani na kofia unakuwa ni mwanachama wa chadema?

Je vipi lingeripoti kwamba ni mwanachama wa chadema wangelifungia?

Sheria za hii Nchi Kama zisipobadilishwa hata aje malaika gani ni upumbavu tu utaendelea

Katiba mpya haikwepeki

We need constitutional reform.
Mnataka katiba mpya ili ichekelee upuuzi kama huo wa hilo gazeti? Hivyo vichwa vyao vya habari unaona vipo sahihi? Kwa nia yenu hii ovu ya kutaka katiba mpya basi hamtokuja ipata, nchi lazima iwe na nidhamu na njia zake za kujiendesha! Huo upuuzi wenu tafuteni nchi nyingine mkaufanye! Mother endelea kuchapa hawa wajasiriasiasa waliopoteana kwa sasa
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom