Dullo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2009
- 251
- 64
Jamani kwa waliosoma Gazeti la Rai lina habari gani maana kuna watu wamepita ofisi mbalimbali wakilikusanya na kusema lina habari ambayo haikustahili kusomwa na kuchapishwa leo, ni habari gani hiyo kwa aliyebahatika kulisoma maana nimelitafuta mpaka nimechemka, msaada jamani!!