LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Toleo la leo 'Mwananchi' kuna habari wameandika, 'Kigogo wa CCM mbaroni kwa tuhuma za mauaji ' lakini hawakumtaja jina, wanaogopa nini? Mbona gazeti la wenyewe wenye nchi wamemtaja? The Daily news wameandika, 'POLICE have arrested the CCM Rukwa Regional Ideology and Publicity Secretary, Mr Patrick Maufi (48), for allegedly beating his wife to death'.