Mbona ye na onyango inasemwa walijifanya TRA kwenye mifuko ya wananchiAnajulikana wala sio kwamba hajulikani. Mwananchi wamemkosea Gilbert kwa kumfananisha na Henry. Japo Gilbert hili suala la mauaji limemchafua sana ila ni moja ya polisi wazuri, ni mzee mwenye busara zake
Ufipa wenyewe walijifia zamani au wanafurahia wakiwa kaburini nini?Magazeti yanayo wafulahisha ufipa na nadhani wamelinunua sana leona kujifulahisha na hiyo habali,
Ukiwa mtenda haki Mola ukunusuru na mabalaaSasa hivi kila mtu atasema lake
nisaidieni yule aliyemtishia nape yupo kwenye watuhumiwa wa mtwara!!??!! tuachane na majina, hata kwenye sensa huwa yanakosewa!!Mkuu heshima kwako.
Amini ya kwamba mwananchi wamekosea, Henry wala hayupo mtwara na hajawahi kuwa SP.
Gilbert ana muda mrefu mtwara kabla hajatoka musoma
Awafananikama shida ni jina na picha lakini ni yuleyule wa dar ni mtwara,then its confirmed ni mtukutu mtu huyu
Hawafananinisaidieni yule aliyemtishia nape yupo kwenye watuhumiwa wa mtwara!!??!! tuachane na majina, hata kwenye sensa huwa yanakosewa!!
ingekuwa kule kwa wenzetu waliosonga kidogo kwenye domokirasia, tungemlazimisha mheshiwa nape atuambie ukweli. but mhhh!! nape is a big boy now huna cha kumwambiaSasa kama huyu Henry kumbe anajulikana kwanini hajashughulikiwa? Au kutishia mtu bastola sio Kosa? Ndio haya haya tunaachia watishiaji watu bastola bila kuwakanya mwisho wa siku wanafanya kweli.
Trigger Happy....
Kumbuka pia Nape sio malaika kuna mengi kafanya nyuma ya pazia ndio maana vitu kama hivi hawez kuhangaika navyoingekuwa kule kwa wenzetu waliosonga kidogo kwenye domokirasia, tungemlazimisha mheshiwa nape atuambie ukweli. but mhhh!! nape is a big boy now huna cha kumwambia
Kwani Jumanne Malangahe Shahidi wa Kesi ya Mchongo ya Freeman si ni SP, Mbona ni Mpuuzi tu na alimbambikia Pembe za Ndovu Yule Mzee Prof Arusha na Kumtoa 100MGazeti la mwananchi limeandika Aliyemtishia Nape bastola apandishwa kizimbani kwa makosa ya mauaji huko Mtwara.
Hii sio kweli, gazeti hili limeweka picha ya afande Gilbert na kuonyesha ndiye aliyemtishia Nape bastola.
Gilbert Kalanje ni SP wa police(mrakibu), wale wenye mwenge mmoja begani. Henry hajawahi kuwa na cheo hiki.
Aliyemtishia Nape sio huyo aliyeripotiwa na gazeti la mwananchi.
Sijajua kwa nini wamekosea hii taarifa, Henry Kisanduku hana uhusiano wowote na Gilbert Kalanje.
View attachment 2098332
Mkuu heshima kwako.
Amini ya kwamba mwananchi wamekosea, Henry wala hayupo mtwara na hajawahi kuwa SP.
Gilbert ana muda mrefu mtwara kabla hajatoka musoma
Nfie huyo namuonaga instaHenry kassim kisanduku ndo anajiita sniper 001
HaujitambuiMkuu kwahiyo hakuna MAUAJI huko Mtwara.?? We ni KOOMER.
Labda alikua na d4 akaenda veta kuchukua trade test grade 1 ambayo sawa na NTA levo4 km sijachapia alafu anaenda DIT kuchukua diploma wengine wanaanzaga na access kozi pale DIT.Form iv point 25 alafu ni luten Wa jeshi, mliopita jkt Na mliopo Jwtz naombeni kuelimishwa hapa maana mm najua afsa kuanzia nyota lazima awe na either form vi, diploma Na kuendelea, sasa huyu Urio ilikuwaje akaingia Na form akapanda mpaka koplo kisha Luten usu na luten kamili.
ni wapi katetewaKwahyo aliyemtishia Nape bastola leo hii anatetewa kabisa...
Maana yake alifanya jambo sahihi kabisa