jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,035
- 28,201
Kati ya magazeti yanayotoa maboko ya kitakwimu ..gazeti hili la mwananchi lipo kwenye list yangu.
Napenda kuwatahadharisha na wajirekebishe isije siku wanafungiwa wakaanza kulia kuwa uhuru wa vyombo vya habari unaminywa.
Gazeti linafungiwa kwa upotoshaji wake wa mara kwa mara na si vinginevyo .Wahariri wanapaswa kuwa na weledi.
Napenda kuwatahadharisha na wajirekebishe isije siku wanafungiwa wakaanza kulia kuwa uhuru wa vyombo vya habari unaminywa.
Gazeti linafungiwa kwa upotoshaji wake wa mara kwa mara na si vinginevyo .Wahariri wanapaswa kuwa na weledi.