Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,191
Dar sehemu gani? Mbona nimeliona gazeti la Mwananchi Mwenge,Buguruni na Uwanja wa ndege.Wakuu,
Leo hapa Dar es Salaam gazeti la Mwanachi halipo kabisa kwenye soko. Nilipomuuliza muuza magazeti mmoja ameniambia ni kwa sababu wanaugomvi na ma-agent (mawakala) ambao wameweka mgomo wa kutolipokea na kulisambaza gazeti hilo kutokana na malipo kiduchu inayotoa gazeti hilo.