Mtakunja uso vibaya baada ya uchaguzi ...maana chadema watakuwa mbali sana kwenye kona ya walalamikaji..ccm inachekelea ushindi wa kishindo wananchi wana akili sana siyo walevi kama mnavyofikiri..
hahaaaah, ile picha nimeipenda, ila wale wananjaa, maana hata kile kitoto kilichokuwapo mkutanoni kimesinzia pia.
Mtakunja uso vibaya baada ya uchaguzi ...maana chadema watakuwa mbali sana kwenye kona ya walalamikaji..ccm inachekelea ushindi wa kishindo wananchi wana akili sana siyo walevi kama mnavyofikiri..
watakwambia ni swaumu hiyo
watakwambia ni swaumu hiyo