Gazeti la MwanaHALISI kumuanika Paul Makonda

Mawakala wa mapapa ya unga utwajua tu.
Mapapa wa unga wamechangishana zaidi ya bilioni moja kummaliza Makonda kisiasa kupitia bungeni mwezi ujao.
Itatumika style iliotumika kwa Professor Muhongo,kila mbunge atakae simama kumsema Makonda akitoka nje tu,anakwenda kuchukua bahasha yenye uzito unaolingana na makombora,litafanyika jaribio la kumtishia kumng'oa Majaliwa bungeni ili kuitisha serikali itii matakwa ya maharamia hawa,
Hawa mapapa wa unga wanaoungwa mkono na Chadema wakishirikiana na Gwajima,wanatumiana wenyewe kwa wenyewe ili kufikia malengo yao ya kisiasa na kijamii.
Chadema wanatumika kwa kuwa kwao wameona ndio njia ya kujipandisha chati yao ilioshuka vibaya sana,baada ya kukosa hoja ya kusimamia.
Gwajima anatumika ili kujiongezea wafuasi hatimaye sadaka inapanda,kama jana,alivunja rekodi tokea kanisa la kufufua watu lianzishwe haijapata kupokea sadaka kama jana lakini kwa mshangao wa walio wengi hakuna vyeti vya Makonda vilivyooneshwa wala wazee waliojitokezakuthibitisha kuwa Makonda ni Daudi!
Sisi tulioamua kuwa upande wa Mungu hatupo tayari kuona kijana wetu anayumbishwa na watu wachache wenye nia mbaya na nchi yetu.
Bashite lingine hili hapa.....
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Awamu ya tano haitishwi,awamu ya nne ndo mlizoea uongo inatishika!
MTAANDIKA MTASEMA MTALALA itakuja issue nyingine Mtaamuka nayo Pu...fu!
Another Bashite at work.... mwangalieni anavyomwagaa mapovu!!

Nchi hii tunawapiga vita mabashite kwa sababu wana macho lakini hawaoni na wana masikio lakini hawasikii!!

Asie Bashite anafahamu kabisa kwamba tatizo kubwa nchi hii ni ufisadi mkubwa maarufu kama Grand Corruption!!

Grand corruption inafanywa na wanasiasa na wafanyabiashara wakubwa; PERIOD!!

Kama kweli Awamu ya Tano haitishwi; nitajie hapa KESI MOJA TU ya grand corruption inayomhusu mwanasiasa!!!

Huwezi kuliona hili kama nawe ni Bashite!!!!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ila CDM nao siwaamini Kabisa siku hizi;Bwana Yule akitaka kuishi kwa amani ahamie Chadema.Atasafishwa na kupiganiwa kabisa uhalali wa cheti chake cha kununua na kila kona propaganda za uhalali wa jina lake la Paul Christian zitazalishwa kwa ustadi na ulinzi atapewa.
Ukweli mtupu... lakini sie wengine tutaendelea kumchana huko huko kama ambavyo tuliendelea kumchana EL wakati wa kampeni!!!
 
Samahani wakuu,
Kwa mliosoma gazeti, Je kuna kilichoongezeka au ni sawa tu na story za gwajima..?
 
Ebu waambie wanajamvi kifungu cha Katiba kinachompa uhuru mwananchi kukejeli, kutukana, kudhihaki, na matumizi ya lugha na maneno dhidi ya mtu mwingine na hasa viongizi.

Nikurejeshe kwenye Katiba ya JMT (1977) kifungu 30: Mipaka kwa haki na uhuru na hifadhi kwa haki na wajibu Sheria ya 1984 Na.15 ib.6 na Sheria ya 1994 Na.34 ib.6:

Kifungu 30.-(1) Haki na uhuru wa binadamu ambavyo misingu yake imeorodeshwa katika Katiba hii havitatumiwa na mtu mmoja kwa maana ambayo itadababisha kuingiliwa kati au kukatizwa kwa haki na uhuru wa watu wengine au maslahi ya umma.

Nawe ebu mwambieni mwanasheria wenu Lissu awaekeze ana bifu gani na utawala wa nchi hii. Kama haheshimu viongozi wenzake, asitegemee kuheshimiwa. Kama mwanasheria anajua athari za matumizi mabaya ya uhuru na haki Kikatiba.

Mwenye bifu na wapinznai ni Mwenyekiti wa CCM.Kudhihakiwa kwa watawala ni jambo la kawaida sana hasa pale unakiuka misingi ya Uhuru na haki za raia wako.

Matendo ya Mtawala yakiwa maovu usitegemee kejeli kutomfuata.KInachotakiwa ni kuangalia maovu yake na kuyarekebeisha,hata ukiweka watanzania wote jela mwisho wa siku utaishia kulalama na kutumia lugha za kuudhi na kudhihaki.

HAkuna mwenye haki juu ya mwenzake,hata RAIS hana haki ya kutoa lugha za kudhalilisha au kukejeli hasa watanzania wenye matatizo.

Mwenyekiti wa CCM anatakiwa kuangalia na kufikiria kabla hajatoa matamshi ya kukera au kuudhi.Ukiendelea kuminya uhuru wa watu ndivyo dhihaka na kejeli zitakapoendelea kukufuata.

Mwambie mwenyekiti wako afuate Katiba aliyoapa kuilinda period!
 
...

Mwambie mwenyekiti wako afuate Katiba aliyoapa kuilinda period!

Tuzungumzie madaraka ya Kikatiba aliyopewa Rais. Kama M/kiti wa Chama ipo Katiba inayomwongoza.

Kama Rais, hadi sasa hajavunja Ibara yoyote ya Katiba ya JMT (1977), labda kama ipo, itaje tuijadili. Soma Ibara ya 30(2).
 
Ni aibu washabiki na wafuasi wa viongizi wa upinzani kung'ang'ania agenda isiyokuwa na ukweli na mantiki.

Ninajiuliza kwa sauti tu, huyu RC aliyewataka baadhi ya viongozi kuripoti Polisi, kuhusu biashara ya madawa ya kulevya, wakakimbilia kwenye vyombo vya habari kukanusha kwa nguvu zote na kutukana hovyo, mwingine hadi mahakamani kuomba kinga ya kutokukamatwa.

Pia wabunge nao wakalivalia njuga na kumtaka aitwe kujieleza huko.

Leo hii, kuna tetesi kuwa ana elimu ya kugushi, hao waheshimiwa mbona hamchukulii hatua ya kumshtaki kwenye vyombo vya habari, kwa jinsi walivyozoea!

Jibu ni aidha ni washiriki wa biashara ya madawa ya kulevya na/au nao wana elimu ya kugushi au wanaamini ni tuhuma za kuchafua sifa ya mtu.

KWA KUWA VITA YA KUDHARIRISHANA IMEANZA, HAKIKA TUTASIKIA MENGI NA YA NGUONI KAMA SERIKALI HAITACHUKUA HATUA STAHILI.

Yetu masikio na macho mwisho wa vita hii. Lakini ukweli ni kwamba nchi sasa imepata kiongozi imara ambaye maneno ni vitendo. HAJARIBIWI ila kwa wanaoandika mtandaoni uchafu kwa ID bandia, kama wewe.
Ndiyo ilani na ahadi mliyoombea kura? Mibashite nyie
 
Tuzungumzie madaraka ya Kikatiba aliyopewa Rais. Kama M/kiti wa Chama ipo Katiba inayomwongoza.

Kama Rais, hadi sasa hajavunja Ibara yoyote ya Katiba ya JMT (1977), labda kama ipo, itaje tuijadili. Soma Ibara ya 30(2).
Wewe huoni utawala wa sheria ulivyowekwa pembeni?

Hili la bashite ni ushahidi tosha wa utawala usiozingatia katiba sheria taratibu na kanuni
 
Wewe huoni utawala wa sheria ulivyowekwa pembeni?

Hili la bashite ni ushahidi tosha wa utawala usiozingatia katiba sheria taratibu na kanuni
Bashite, Bashite, Bashite, ni nani? Mbona amewazingua akili zenu, du!
 
Tuzungumzie madaraka ya Kikatiba aliyopewa Rais. Kama M/kiti wa Chama ipo Katiba inayomwongoza.

Kama Rais, hadi sasa hajavunja Ibara yoyote ya Katiba ya JMT (1977), labda kama ipo, itaje tuijadili. Soma Ibara ya 30(2).

Rais wa JMT ameishavunja katiba mara nyingi sana tu.Kwanza kwa kuwanyima RAIA kukutana na wabunge wao,kuwanyima raia uhuru wa kupata habari,Kuwanyima upinzani haki ya kufanya mikutano,kutumia jeshi la polisi,ametumia madaraka yake vibaya pale anapogawa pesa utadhani yeye ndiyo Bunge na waziri na mahakama vibaya.

In short amevunja HAKI za Binadamu.Awe Mwenyekiti wa CCM au asiwe bado anawajibu wa kutumia mdomo wake vyema asitoe maneno ya kuakshifu mtu,kudhalilisha,kutukana ,kukejeli nahatakiwi kutumia madaraka yake vibaya.Huwezi kuliondoa hilo la kuvunja katiba kutoka kwa Mwenyekiti wako,mwambieni tu aheshimu katiba aliyoapa kuilinda mengine yatajipa yenyewe.
 
Drug dealer and an academic fraudster share one thing in common. Criminal mindset!
 
Mkuu heshima hutolewa kwa anaejiheshimu. Ukiona kila kukicha maloloso ujue heshima imetupa mkono.

Utawala huu hauna heshima kwa sababu ni batili wameingia wasio na hekima wala busara.

Kuna neno linaitwa soni tafisiri ya karibu ni aibu. Ukikosa soni hata kauli zako zinakuwa na utata.

Wewe huna hekima ndiyo maana unajitanabahisha na utawala wa hovyo kuwahi kutokea.
MABWA punguza jazba na matusi.Ubatili wa uongozi huu umetoka wapi, we ni mahakama kuu? halafu unatukana the majority of TZnians waliochagua, hapo ni hekima au busara gani unaonesha?
 
Mzee mzima si unajua elimu ilivyo ngumu?? Unakumbuka ulivyohangaika kupata madigrii yako kibao mamtoni??? Sasa na madigrii yako yote yale afu unaishia kumiliki kaglobu wakati huyu kanunua cheti tu anapewa urais wa mkoa... tena mkoa wa Tanzania.

Sio fair kabisa au unasemaje Le Baharia la them Michuchuz the King of All social Media in BongoLand???
Umempiga kwenye korodani huyu ...harudi tena ...all in all watupe ushahidi wa forgery ...kubadili majina kunakubalika kisheria
 
MABWA punguza jazba na matusi.Ubatili wa uongozi huu umetoka wapi, we ni mahakama kuu? halafu unatukana the majority of TZnians waliochagua, hapo ni hekima au busara gani unaonesha?
Chukulia unavyotaka

1. Alitangazwa na tume bila ushahidi

2. Hoja za kupinga matokeo kabla ya kutangazwa matokeo zilipelekwa tume wakatorokea mlango wa nyuma

3. Waliokusanya matokeo mbadala na kupelekwa mahakamani kesi imefutwa na serikali kwa aibu.

Sasa uhalali unatoka wapi kwa mazingira hayo?

Baada ya hayo yote jamaa kama kang'atwa na nyoka hajiamini. Chuki visasi kutugawa kikabila kidini na kiitikadi. Tumefarakana like never before.

Wenye akili waliona no maono ni mihemuko kuropoka kejeli na mikurupuko.

Wengine tuliyatarajia na tunajua the worst is yet to come. Nini hili la bashite kama siyo teuzi za kibashite.
 
Ni mwizi punguani tu atakaetembea na mzigo wa wizi kichwani mchana. Kama ni kweli juu ya swala la vyeti vya mh., hakutakiwa kuingia siasa, ni kazi ina publicity kubwa, na hasa kwa dunia ya leo ya mtandao. Nampa pole sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom