Plan Of Action
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 462
- 381
gen,hafungwi Ila atapumzishwa kupisha uchunguzi
mbona sijaona makosa hapo?
au mi nae nimeanza kuwa kihiyo? teh teh
Aliitwa Paul christian...halafu akaiba cheti cha D.B? Au?
gen,hafungwi Ila atapumzishwa kupisha uchunguzi
wapi pamethibitishwa kuwa ana magamba feki?Vyovyote sawa!; lakini tukubali kuwa watanzania wengi ni wanafiki .ikiwa walijua kuwa ana vyeti feki kwa nini hawakusema mpaka alipoibua swala LA madawa ya kulevya?
huyu naye ni kihiyo kubenea adhubutu kuingia kwenye hii vita maana hata yaye ameandika anaelimu ya kidato cha nne lakini hajawahi kupeleka kopi kwa katibu wa bunge bora makonda amesoma hadi chuo kikuu , huyu anaelimu ya hapa na pale
Upimwe wew si bure
Kwa kifungu kipi cha sheria..??Mheshiwa kasema atakaelitaja jina Hilo fine 5,000,000 au jela kwa mwaka mmoja
Duu nini?duuuuuh