Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,713
- 45,090
Gazeti la Mwanahalisi linalomilikiwa na Saed Kubenea linatarajiwa kuingia mtaani/sokoni siku ya jumatano hii mara baada ya kufunguliwa na mahakama kutoka kifungoni.
Kuna mdau amenitonya kuwa moja ya habari kuu wiki hii itakuwa ni kilichopo nyuma ya pazia kuhusu Azam Tv kuzuiwa kusoma taarifa ya habari.
Tutegemee nini ujio mpya wa gazeti hili lililotamba enzi zile za Jakaya?
Kuna mdau amenitonya kuwa moja ya habari kuu wiki hii itakuwa ni kilichopo nyuma ya pazia kuhusu Azam Tv kuzuiwa kusoma taarifa ya habari.
Tutegemee nini ujio mpya wa gazeti hili lililotamba enzi zile za Jakaya?