Gazeti la Mwafrika 1959

Hapo zamani katika picha

Screenshot_20210405_151056.jpg


Screenshot_20210405_140356.jpg


FB_IMG_1617624598442.jpg


FB_IMG_1617624588085.jpg


FB_IMG_1617624670162.jpg


FB_IMG_1617625358188.jpg


FB_IMG_1617624239251.jpg


FB_IMG_1617625201334.jpg


FB_IMG_1617625172008.jpg


FB_IMG_1617625159446.jpg


FB_IMG_1617624545507.jpg


FB_IMG_1617625444182.jpg


FB_IMG_1617625398972.jpg


FB_IMG_1617624298716.jpg


FB_IMG_1617625363652.jpg


FB_IMG_1617624242582.jpg


FB_IMG_1617624138798.jpg


FB_IMG_1617623843426.jpg


FB_IMG_1617625141872.jpg


FB_IMG_1617623819034.jpg


FB_IMG_1617625134174.jpg


FB_IMG_1617624209410.jpg


FB_IMG_1617624191152.jpg


FB_IMG_1617625059297.jpg


FB_IMG_1617625052598.jpg


FB_IMG_1617625047517.jpg


FB_IMG_1617625029543.jpg


FB_IMG_1617625118390.jpg


FB_IMG_1617625107228.jpg


FB_IMG_1617623751730.jpg
 
Itokee sasa gazeti lichapishe maudhui yanayofanana na haya itakuaje?

Bado eti kunawatu wanasema wazungu ni watu wabaya. View attachment 1867535
Da mwanangu naliomba hilo gazeti nilikopi, umenikumbusha mbali sana, na hayo magazeti ya long time yanapatikana wapi wa jamani.
Maana ukisikia Pijo sidhani kama ninyi watoto mnaelewa jamani pijo ilikuwa si mchezo na speed ilikuwa 80km/hr na umalizi lakini
 
Mbona una niquote vibaya aisee, soma Gazeti mkuu
Hapana, sijakuquote vibaya Mkuu...!

Ni kuwa nimeona the same gazeti somewhere na kuna Mhindi ameeleza vizuri kuwa Familia yake, kuanzia na Baba yake ndio walikuwa wanaimport hizo spare Nairobi na DSM mpaka leo hii na wakati huo walikuwa wanauzia mashirika na Bodi za kahawa

Ndio maana nikakuuliza hivyo kama una uhakika na hilo la kusema ni wachagga?
 
Mkoloni hakuwa na shida na mwafrika kumiliki mali au kufanya biashara wengi tu matajiri walikuwepo kina Mbowe baba,.Nyerere na sokoine ndio waliwapandikizia watz roho ya umasikini kwa kuwaaminisha watu kwamba utajiri ni unyonyaji umasikini ni uzalendo, ikiwemo kuwa kupora mali za matajiri walizochuma tangu mkoloni.Huwezi msaidia masikini kwa kumkomoa tajiri,bali unaweza msaidia masikini kwa kuwafanya matajiri wazidi kuwa matajiri tajiri hawezi kuwa dereva,konda,muuza duka,mlinzi,mpishi wa hotels,mfagizi wa ofisi nk ni lzm ataajiri masikini.Umuhimu wa tajiri ktk nchi ni kutoa ajira na kodi.Tajiri mmoja nyuma yake kuna masikini kijiji wapo nyuma yake wanategemea kula,kuvaa, nauli, sadaka,nk
Nanatokaje hapa tulipo au tutulie tu mpaka atakapo zaliwa mwenye maono
 
Wachaga akili zenu zina funza kwl jambo dogo mnashindwa kulielewa, siwashangai Mkoa wenu unaongoza kwa watoto wenye kwashiakor. Kuona tu tangazo mmeshaaanza mambo ya ukabila. Ni jamii ipi ilikuwa haifanyi uchaguzi wa viongozi wao. Wachaga wana mafanikio gani km kabila wakati kuna wachaga wengi maskini, nenda vijijini kwao. Kule Rombo hakuna hata mwanaume wa kuchimba mtaro. Ni njaa na pombe imewamaliza. Acheni sifa za kipuuzi ndugu zenu wengi bado maskini sana kuliko hata makabila mengine.
Du. Wachaga wamejitambua siku nyingi. Halafu utasikia baadhi ya wajinga wakisema mafanikio yao ni kwa sababu ya kuiba!
 

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom