Huyu mwandishi hakuitwa gaidi?Itokee sasa gazeti lichapishe maudhui yanayofanana na haya itakuaje?
Bado eti kunawatu wanasema wazungu ni watu wabaya. View attachment 1867535
Akina mangi sio watuHilo tangazo la biashara za Spare za pijo walitisha. Miaka hiyo watu wanapiga mabusiness chini ya mkoloni
Nouma Sana ,nyerere anahangaika, wahuni hawana habari kabisa 😀 wanawaza shekeli mwanzo mwengaHilo tangazo la biashara za Spare za pijo walitisha. Miaka hiyo watu wanapiga mabusiness chini ya mkoloni
Nia mojaItokee sasa gazeti lichapishe maudhui yanayofanana na haya itakuaje?
Bado eti kunawatu wanasema wazungu ni watu wabaya. View attachment 1867535
Du. Wachaga wamejitambua siku nyingi. Halafu utasikia baadhi ya wajinga wakisema mafanikio yao ni kwa sababu ya kuiba!Itokee sasa gazeti lichapishe maudhui yanayofanana na haya itakuaje?
Bado eti kunawatu wanasema wazungu ni watu wabaya. View attachment 1867535
Mbona sijaona uhusika wa mchagga kwenye hilo tangazo la biashara?Du. Wachaga wamejitambua siku nyingi. Halafu utasikia baadhi ya wajinga wakisema mafanikio yao ni kwa sababu ya kuiba!
Wanaosema hivyo wengi ni ma layman's na domant mindDu. Wachaga wamejitambua siku nyingi. Halafu utasikia baadhi ya wajinga wakisema mafanikio yao ni kwa sababu ya kuiba!
Magazeti yenye akiliItokee sasa gazeti lichapishe maudhui yanayofanana na haya itakuaje?
Bado eti kunawatu wanasema wazungu ni watu wabaya. View attachment 1867535
Nimesoma uchagani tuItokee sasa gazeti lichapishe maudhui yanayofanana na haya itakuaje?
Bado eti kunawatu wanasema wazungu ni watu wabaya. View attachment 1867535
Hapana! Ni gari kutoka Ufaransa zikiitwa Peugeot zilikuwepo nyingi nakumbika 304,404 na 504.Hivi pijo zilikuwa baiskeli eee?
Kuna mbwa wetu aliitwa pijo pia sijui mzee aliimis baiskel yake had akaamua kumwita mbwa wake jina hilo
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwani huwezi kuanza kukwapua siku nyingi Bwasheee????😂😂Du. Wachaga wamejitambua siku nyingi. Halafu utasikia baadhi ya wajinga wakisema mafanikio yao ni kwa sababu ya kuiba!
Mkoloni hakuwa na shida na mwafrika kumiliki mali au kufanya biashara wengi tu matajiri walikuwepo kina Mbowe baba,.Nyerere na sokoine ndio waliwapandikizia watz roho ya umasikini kwa kuwaaminisha watu kwamba utajiri ni unyonyaji umasikini ni uzalendo, ikiwemo kuwa kupora mali za matajiri walizochuma tangu mkoloni.Huwezi msaidia masikini kwa kumkomoa tajiri,bali unaweza msaidia masikini kwa kuwafanya matajiri wazidi kuwa matajiri tajiri hawezi kuwa dereva,konda,muuza duka,mlinzi,mpishi wa hotels,mfagizi wa ofisi nk ni lzm ataajiri masikini.Umuhimu wa tajiri ktk nchi ni kutoa ajira na kodi.Tajiri mmoja nyuma yake kuna masikini kijiji wapo nyuma yake wanategemea kula,kuvaa, nauli, sadaka,nkHilo tangazo la biashara za Spare za pijo walitisha. Miaka hiyo watu wanapiga mabusiness chini ya mkoloni
Wahindi hao, walikuwa wanawauzia baadhi ya viongozi wa serikali na wafanyakazi wa vyama vya Ushirika.Hilo tangazo la biashara za Spare za pijo walitisha. Miaka hiyo watu wanapiga mabusiness chini ya mkoloni
Kipindi hicho ukisikia Nyerere yupo Mtwara, basi Kawawa yupo Arusha, Kawawa akiwa Tanga Nyerere yupo Tabora...baadae akaja Sokoine kuongeza nguvuNia moja
Nguvu moja
Haki moja