Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Ktk hali ya kushangaza,nimekutana na habari ya kushangaza ktk gazeti la Mtanzania ambalo lilikuwa linampigia kampeni mzee kikwete,EL,RA,yani lile gazeti la kutetea ufisadi limesema ktk ukurasa wa kwanza na wa pili kuwa mbunge Zitto ni CCM.
Mwenye kopi atazame pale kulia kulikoripotiwa kuwa Zitto (CCM) ameibua ufisadi mpya. Limeripoti ivo wakati Zitto akiandamwa na wananchi kuwa hawamwelewi.
Je, ni harakati za kumgonganisha Mh. ZITTO na wananchi? Au ndo kujivua gamba uko kuamua kuanika dhamira yao? Ktk hili kama ni kweli bora wasivue gamba, wafunike pale palipoandikwa Zitto Kabwe (CCM), waondoe CCM na wamwombe Samahani Mbunge Zitto ndani ya masaa 24 kabla hasira zangu kupandwa %.
Haraka sana, ZITTO ni wa CHADEMA full stop!
Mwenye kopi atazame pale kulia kulikoripotiwa kuwa Zitto (CCM) ameibua ufisadi mpya. Limeripoti ivo wakati Zitto akiandamwa na wananchi kuwa hawamwelewi.
Je, ni harakati za kumgonganisha Mh. ZITTO na wananchi? Au ndo kujivua gamba uko kuamua kuanika dhamira yao? Ktk hili kama ni kweli bora wasivue gamba, wafunike pale palipoandikwa Zitto Kabwe (CCM), waondoe CCM na wamwombe Samahani Mbunge Zitto ndani ya masaa 24 kabla hasira zangu kupandwa %.
Haraka sana, ZITTO ni wa CHADEMA full stop!