Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kauli nzuri kwa jimi hii .Bye byeeeeee waandishi mkaolewe sasa
ccm mbele kwa mbeleView attachment 1098799
Bye byeeeeee waandishi mkaolewe sasa
...kwa hiyo ina maana hakutakuwa na gazeti la Mtanzania mitaani, na ukitaka kulisoma unalipata mtandaoni tu basi?
Kweli, hali ngumu..
!!
Yana ruzuku hayoWakati huo huo Tanzanite na Jamvi la habari yanapeta tu, bila kununuliwa
Tutembee kifua mbeleeeTuko pazuriiiiiiiii , nasema tuko pazuriiiiiiiii , tuko pazuri ndugu zangu
Kwa taarifa yako kaka,kuchapisha habari kwenye mitandao haijaanza bongo,ulaya huko ni muda mrefu sana wanatumia mitandao na wanachapisha habari zao kwenye mitandao na hardcopy ya magazeti yanaendelea kila siku.Mimi huwa nashangaa sana hawa wamiliki wa magazeti. Wanashindwa kusoma alama za nyakati. Sasa hivi almost 50% ya wanaotumia simu, wanamiliki smarttphone. Habari zinapatikana kwenye mitandao all the time. Watu hawasomi tena magazeti zaidi ya kuangalia vichwa vya habari baada ya hapo ni kuingia mtandaoni kutafta habari iliyomvutia na kuisoma kwa undani zaidi.
Ohhh sorry😆😆😆😆 Join date feb 12
Pamoja na kwamba nilikuwa upande wako ukashindwa kuelewa kwa sababu ya ugeni , mabeberu kwa tafsiri ya GT ni wale wote wanaoonyesha mapungufu ya nchi .
Namuomba Moderator asikupige ban maana naamini usingenitukana kama ungenielewa
msamehe.........Busara haiuzwi
kiswahili tafadhariSurvival of the fittest