Gachuma jr
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 839
- 450
Tuombeane Mungu tutafika tu… .
Na channel 10 itaelekea huko punde... hivi uhuru bado linachapishwa?Wimbi la kupoteza ajira taz limekuwa gonjwa kuu ndani ya taifa letu leo kampuni ya magazeti ya mtanzania imetangaza kutochapisha gazeti lao na badala yake watalichapisha kwa kupitia mtandao (social media) Kutoka uuzaji wa nakala ya gazeti (printcopy) takribani wafanyakazi 20 watapoteza ajiri hii yote inaonyesha hali ya uchumi kuwa ngumu wafanyakazi wa gazeti la mtanzania hawajapata mshahara kwa miezi 6 mfurulizo kwa hali hii tanzania na watanzani wapi tunaelekea
Huyu GT anakwambia ni uchumi umeshuka, wewe umetoa wapi haya maelezo yakoMimi huwa nashangaa sana hawa wamiliki wa magazeti. Wanashindwa kusoma alama za nyakati. Sasa hivi almost 50% ya wanaotumia simu, wanamiliki smarttphone. Habari zinapatikana kwenye mitandao all the time. Watu hawasomi tena magazeti zaidi ya kuangalia vichwa vya habari baada ya hapo ni kuingia mtandaoni kutafta habari iliyomvutia na kuisoma kwa undani zaidi.
Beberu mkubwa weeee !!!!Wimbi la kupoteza ajira taz limekuwa gonjwa kuu ndani ya taifa letu leo kampuni ya magazeti ya mtanzania imetangaza kutochapisha gazeti lao na badala yake watalichapisha kwa kupitia mtandao (social media) Kutoka uuzaji wa nakala ya gazeti (printcopy) takribani wafanyakazi 20 watapoteza ajiri hii yote inaonyesha hali ya uchumi kuwa ngumu wafanyakazi wa gazeti la mtanzania hawajapata mshahara kwa miezi 6 mfurulizo kwa hali hii tanzania na watanzani wapi tunaelekea
Wia oni ze raiti trakiNa bado.
Hadi akili zitukae
Hakuna kama JFKampuni ya New habari (2016) Limited imetangaza kusisitisha uzalishaji wa gazeti la Mtanzania kuanzia jumatatu ya wiki ijayo mei 20, 2019 hadi juni 20, 2019 kutokana na mabadiliko makubwa ya muundo yanayoendelea kutoka print kwenda digitali. Uamuzi huo umefikiwa baada ya kampuni hiyo kubadili mfumo na uendeshaji na kwamba gazeti hilo sasa litapatikana kwa njia ya digitalis kwa kipindi hicho chote.
View attachment 1098032
Survival of the fittestWimbi la kupoteza ajira taz limekuwa gonjwa kuu ndani ya taifa letu leo kampuni ya magazeti ya mtanzania imetangaza kutochapisha gazeti lao na badala yake watalichapisha kwa kupitia mtandao (social media) Kutoka uuzaji wa nakala ya gazeti (printcopy) takribani wafanyakazi 20 watapoteza ajiri hii yote inaonyesha hali ya uchumi kuwa ngumu wafanyakazi wa gazeti la mtanzania hawajapata mshahara kwa miezi 6 mfurulizo kwa hali hii tanzania na watanzani wapi tunaelekea
Beberu ni wewe unayeliwa mbele na nyumaBeberu mkubwa weeee !!!!
Mmmmmh!!Beberu ni wewe unayeliwa mbele na nyuma
😆😆😆😆 Join date feb 12Beberu ni wewe unayeliwa mbele na nyuma
Be your age.Mimi huwa nashangaa sana hawa wamiliki wa magazeti. Wanashindwa kusoma alama za nyakati. Sasa hivi almost 50% ya wanaotumia simu, wanamiliki smarttphone. Habari zinapatikana kwenye mitandao all the time. Watu hawasomi tena magazeti zaidi ya kuangalia vichwa vya habari baada ya hapo ni kuingia mtandaoni kutafta habari iliyomvutia na kuisoma kwa undani zaidi.