Gazeti la Mtanzania kusitishwa kuanzia Mei 20, 2019 ili kupisha marekebisho

Shigganza

Senior Member
May 24, 2018
160
412
Kampuni ya New habari (2016) Limited imetangaza kusisitisha uzalishaji wa gazeti la Mtanzania kuanzia jumatatu ya wiki ijayo mei 20, 2019 hadi juni 20, 2019 kutokana na mabadiliko makubwa ya muundo yanayoendelea kutoka print kwenda digitali. Uamuzi huo umefikiwa baada ya kampuni hiyo kubadili mfumo na uendeshaji na kwamba gazeti hilo sasa litapatikana kwa njia ya digitalis kwa kipindi hicho chote.

IMG_1764.JPG


Soma pia:

 
UCHUMI WETU UNAKUA KWA KASI ,TUJIPE MUDA UCHUMI UTAKUWA ZAIDI NA ZAIDI NA AJIRA ZITAONGEZEKA,SHIKAMOO TANZANIA
 
KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd, imesema kuanzia Jumatatu ya wiki ijayo itasitisha uzalishaji wa gazeti la MTANZANIA kuanzia Mei,20 hadi Juni 20, mwaka huu kutokana na mabadiliko makubwa ya muundo yanayoendelea.

Taarifa iliyotolewa na uongozi wa kampuni hiyo Dar es Salaam jana, ilisema uamuzi huo umefikiwa baada ya kampuni kubadili muundo na uendeshaji na kwamba gazeti hilo sasa litapatikana kwa njia ya digitali kwa kipindi chote hicho.

“Kampuni inautangazia umma na wateja wake kuwa hivi sasa kampuni inabadili muundo wa uendeshaji na uzalishaji, pia kubadili mwelekeo kutoka ‘print’ kwenda digital, hatua hiyo itaendana pia na kupunguza wafanyakazi.

“Ili kuendana na mabadiliko ya biashara, tunapenda kuutangazia umma kuwa kuanzia Jumatatu Mei 20. 2019 gazeti la MTANZANIA halitakuwa likichapishwa kwa kipindi cha mwezi mmoja, hivyo uzalishaji utarajea baada ya mwezi mmoja,”ilisema taarifa hiyo.
 
Kumbe ni mwezi mmoja tu? Naona wanapima upepo. Ila fani ya habari lazima wahusika wawe na plan B ya maisha
KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd, imesema kuanzia Jumatatu ya wiki ijayo itasitisha uzalishaji wa gazeti la MTANZANIA kuanzia Mei,20 hadi Juni 20, mwaka huu kutokana na mabadiliko makubwa ya muundo yanayoendelea.

Taarifa iliyotolewa na uongozi wa kampuni hiyo Dar es Salaam jana, ilisema uamuzi huo umefikiwa baada ya kampuni kubadili muundo na uendeshaji na kwamba gazeti hilo sasa litapatikana kwa njia ya digitali kwa kipindi chote hicho.

“Kampuni inautangazia umma na wateja wake kuwa hivi sasa kampuni inabadili muundo wa uendeshaji na uzalishaji, pia kubadili mwelekeo kutoka ‘print’ kwenda digital, hatua hiyo itaendana pia na kupunguza wafanyakazi.

“Ili kuendana na mabadiliko ya biashara, tunapenda kuutangazia umma kuwa kuanzia Jumatatu Mei 20. 2019 gazeti la MTANZANIA halitakuwa likichapishwa kwa kipindi cha mwezi mmoja, hivyo uzalishaji utarajea baada ya mwezi mmoja,”ilisema taarifa hiyo.
 
Magazeti yanapangiwa nini yaandike nini yasiandike nani ana muda wa kununua gazeti na watayaua yote yatabaki ya ccm tu!..tunarudi tulipotoka!
 
Wimbi la kupoteza ajira taz limekuwa gonjwa kuu ndani ya taifa letu leo kampuni ya magazeti ya mtanzania imetangaza kutochapisha gazeti lao na badala yake watalichapisha kwa kupitia mtandao (social media) Kutoka uuzaji wa nakala ya gazeti (printcopy) takribani wafanyakazi 20 watapoteza ajiri hii yote inaonyesha hali ya uchumi kuwa ngumu wafanyakazi wa gazeti la mtanzania hawajapata mshahara kwa miezi 6 mfurulizo kwa hali hii tanzania na watanzani wapi tunaelekea
 
Watapataje profit na kurudisha gharama zingine za uendeshaji thru kuwa digitali ili hali tunalisoma gazeti lao bure? Au ni janja yao ili kupunguza wafanyakazi?
 
KAMPUNI ya New Habari (2006) Ltd, imesema kuanzia Jumatatu ya wiki ijayo itasitisha uzalishaji wa gazeti la MTANZANIA kuanzia Mei,20 hadi Juni 20, mwaka huu kutokana na mabadiliko makubwa ya muundo yanayoendelea.

Taarifa iliyotolewa na uongozi wa kampuni hiyo Dar es Salaam jana, ilisema uamuzi huo umefikiwa baada ya kampuni kubadili muundo na uendeshaji na kwamba gazeti hilo sasa litapatikana kwa njia ya digitali kwa kipindi chote hicho.

“Kampuni inautangazia umma na wateja wake kuwa hivi sasa kampuni inabadili muundo wa uendeshaji na uzalishaji, pia kubadili mwelekeo kutoka ‘print’ kwenda digital, hatua hiyo itaendana pia na kupunguza wafanyakazi.

“Ili kuendana na mabadiliko ya biashara, tunapenda kuutangazia umma kuwa kuanzia Jumatatu Mei 20. 2019 gazeti la MTANZANIA halitakuwa likichapishwa kwa kipindi cha mwezi mmoja, hivyo uzalishaji utarajea baada ya mwezi mmoja,”ilisema taarifa hiyo.
Munasimama mwezi mmoja , harafu mnapunguza wafanyakazi???
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom