GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,073
- 107,563
Mhariri mwenye akili timamu kabisa hawezi kukubali maandishi kama haya ambayo nayanukuu " Simba SC yafa chali Kifo cha Mende ndembe ndembe ". Matusi haya ya reja reja hayavumiliki na mtasababisha Wana Simba SC wote tususe kununua hiko Kijarida chenu halafu mfe njaa mjini hapa.
Mwisho mwambieni huyo Mhariri wenu Dada Mwani Nyangasa ( kama sijakosea ) ambaye ni Mwana Yanga FC mkubwa arekebishe kuwa Timu hiyo ya Nakuru All Stars siyo ya Daraja la Pili kama alivyoandika leo bali ni Timu / Klabu ya Daraja la Kwanza huko nchini Kenye.
Hilo Dawati lenu la Michezo lilikuwa zuri sana alipokuwa Comrade wangu Dominic Isiji ila kwa huyu Dada yangu Mwani Nyangasa nadhani sasa linapwaya.
Mmetutukana mno Wana Simba SC kwa kutuambia eti chali na ndembe ndembe Kifo cha Mende.
Mwisho mwambieni huyo Mhariri wenu Dada Mwani Nyangasa ( kama sijakosea ) ambaye ni Mwana Yanga FC mkubwa arekebishe kuwa Timu hiyo ya Nakuru All Stars siyo ya Daraja la Pili kama alivyoandika leo bali ni Timu / Klabu ya Daraja la Kwanza huko nchini Kenye.
Hilo Dawati lenu la Michezo lilikuwa zuri sana alipokuwa Comrade wangu Dominic Isiji ila kwa huyu Dada yangu Mwani Nyangasa nadhani sasa linapwaya.
Mmetutukana mno Wana Simba SC kwa kutuambia eti chali na ndembe ndembe Kifo cha Mende.